Mashaurijr
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 680
- 1,085
- Thread starter
- #41
Ndio akili mtu wanguHuwa natembea na beat tu,
Ndio akili mtu wanguHuwa natembea na beat tu,
Kulaleki bado hujafananishwa naInanikuta sana hiyo na bado wanaonifananisha. Kuna mmoja nilikutana nae anasema kabisa aliniona kwenye movie namkatalia tu bure
Mama yako tenaHii ya kufananisha mimi mpaka nachoka huwa najiuliza au mzee kaacha mbegu sehemu nyingi ila sura nimefanana sana na Mama
Hongera sisi tunafananishwa na waganga wa kienyeji . Unaulitwa eti wewe sio mtoto wa mganga flaniMimi niliambiwa sura yangu inaonekana kama mtu famous so nikitokea sehemu ndio maana watu huwa wanahisi wameshawahi kuniona sehemu
Ni kweli,lkn nami nilikuwa sahihi kuchukua tahadhari.Unafikiri aliumia kiasi gani . Nahisi maumivu yake ni hatari sana
Siku nyingine omba mungu usikutane na askari magereza alafu akufananishe na mfungwa ambae aliwahi mtoroka😁Leo nimekutana na kijana mmoja kanichangamkia kinoma noma ananijua vyema hadi anaulizia watu wangu wa karibu lakini kila nikijaribu kumkumbuka nafeli
Imebidi nijichekeshe tu mpaka sasa sijamjua kabisa na kumuuliza nimeona jau
Ishawahi kukukuta . Ulitokaje hapo ?
Leo tu imetokea na mimi nikamchangamkia hivyo hivyoLeo nimekutana na kijana mmoja kanichangamkia kinoma noma ananijua vyema hadi anaulizia watu wangu wa karibu lakini kila nikijaribu kumkumbuka nafeli
Imebidi nijichekeshe tu mpaka sasa sijamjua kabisa na kumuuliza nimeona jau
Ishawahi kukukuta . Ulitokaje hapo ?
DaahSiku nyingine omba mungu usikutane na askari magereza alafu akufananishe na mfungwa ambae aliwahi mtoroka
Pigo zangu . Hata nipigiwe na namba ngeni nachukua muda kuuliza wewe nani.Mimi uwaga najichangamsha then nakuwa kimya kimya najiuliza kichwani nakaa kimya naonaga jau kumuuliza wewe ni nani
Mtu kama namjua kumkataa simple tu ila kama humjui ndio kimbembeKuna mtu mmoja nimekutana nae Sqmora/Azikiwe akanichangamkia sana. Nikamuuliza tumeonana wapi akaniambia niko mtaani kwenu(kwetu) huwa nakuona jioni ukitokeq mazoezini. Tukaongea mambo makubwa saana ya kimaendeleo
Baada ya cku kadhaa natokea home napita Salon ya wanawake namkuta jamaa yuko katikati ya wanawake 7 au 8 Mwanaume peke yake. From there onwards jamaa hata kuoeana Hi hamna
Jamaa ni aina ya vijana ambao kukaa na Wanawake kuzungumzia umbea wa. Mtaani hata masaa 2 haoni shida