rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,164
- 43,854
Aisee hakuna kitu kitamu kama demu akakuacha alafu wewe ukajishusha ukambembeleza akakolea tenaa na wewe ukazidisha mahaba kama zamani alafu Ukamlaaa mpaka bhasi then Ukapiga kimya from no where






Aisee huwaga inachoma kama pasi..!!
Karma never forget.







Aisee huwaga inachoma kama pasi..!!Karma never forget.