Ushauri

Sossy Mwasi

Senior Member
Jul 19, 2015
190
23
Nilijiuliza sana ni kwann wahindi wao ni ruksa kuoa binamu zao.Lakin baadae nikajiuliza pia kuna maandiko fulani yanatuonesha kua mwanamke alitoka kwene ubavu wa mwanamume(mambo ya Adam na Eva).Hapo ndipo nilipogundua kua to some extent wako sahihi na ndio maana familia nying za wahindi zinadumu na kujengeka imara plus kua na hali nzuri ya kifamilia(chunguza).Na hyo ni kwasababu ukoo hauendi mbali sana hvyo kila mmoja humjua mwenzie vzur sana na kuwa na uchungu na mali zilizopo na heshima katika ndoa..Mimi naona suluhisho la ndoa kuvunjikavunjika na kutoimarika kimapato n.k liwe hilo.Watu Tuoe Tu Binamu Zetu.
 
Nadhani ungeongelea zaidi athari za kibaolojia.

Ndugu kuzaliana haimaniishi watakuwa na uchungu wa mali.

Huu ni utamaduni wa jamii ya watu fulani kuweza kuendeleza mali ziliozoachwa na waliozianzisha.
 
Nilijiuliza sana ni kwann wahindi wao ni ruksa kuoa binamu zao.Lakin baadae nikajiuliza pia kuna maandiko fulani yanatuonesha kua mwanamke alitoka kwene ubavu wa mwanamume(mambo ya Adam na Eva).Hapo ndipo nilipogundua kua to some extent wako sahihi na ndio maana familia nying za wahindi zinadumu na kujengeka imara plus kua na hali nzuri ya kifamilia(chunguza).Na hyo ni kwasababu ukoo hauendi mbali sana hvyo kila mmoja humjua mwenzie vzur sana na kuwa na uchungu na mali zilizopo na heshima katika ndoa..Mimi naona suluhisho la ndoa kuvunjikavunjika na kutoimarika kimapato n.k liwe hilo.Watu Tuoe Tu Binamu Zetu.

Ulishawahi kufika India?
 
Aisee....
Mchakato wa katiba mpya ya uanze haraka, tupate ktiba itakayo ruhusi hili
 
Nadhani ungeongelea zaidi athari za kibaolojia.

Ndugu kuzaliana haimaniishi watakuwa na uchungu wa mali.

Huu ni utamaduni wa jamii ya watu fulani kuweza kuendeleza mali ziliozoachwa na waliozianzisha.

Sasa Mbona Mwishon Umerudi Palepale Mkuu.
 
Nilijiuliza sana ni kwann wahindi wao ni ruksa kuoa binamu zao.Lakin baadae nikajiuliza pia kuna maandiko fulani yanatuonesha kua mwanamke alitoka kwene ubavu wa mwanamume(mambo ya Adam na Eva).Hapo ndipo nilipogundua kua to some extent wako sahihi na ndio maana familia nying za wahindi zinadumu na kujengeka imara plus kua na hali nzuri ya kifamilia(chunguza).Na hyo ni kwasababu ukoo hauendi mbali sana hvyo kila mmoja humjua mwenzie vzur sana na kuwa na uchungu na mali zilizopo na heshima katika ndoa..Mimi naona suluhisho la ndoa kuvunjikavunjika na kutoimarika kimapato n.k liwe hilo.Watu Tuoe Tu Binamu Zetu.

Perfect mkuu..mimi nimeamua kumuoa ndugu yangu kuepuka kero
 
Back
Top Bottom