Ushauri

Ushauri

MANGAZINE

Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
8
Reaction score
3
Kwa nini wazazi hawataki nioe mke kutoka kaskazini yaani wachaga, wapare n.k... kwani wasichana wa huko wanamatatizo gani??
 
Kwa nini wazazi hawataki nioe mke kutoka kaskazini yaani wachaga, wapare n.k... kwani wasichana wa huko wanamatatizo gani??

Simple:

Wazazi wako wana matatizo. Na wewe huna maamuzi.

Iko siku watakushauri uoe mbuzi. Kazi ni kwako.
 
Ni kwasababu ya mawazo mgando ya wazazi wetu, au kwa kiswahili fasaha tunawaita wahafidhina
 
imani yangu mzazi hawezi kukukataza kitu bila sababu!!
kwani wao walikupa sababu gani halafu sisi tuseme je ni kweli au miyeyusho tu!!!
 
Simple:

Wazazi wako wana matatizo. Na wewe huna maamuzi.

Iko siku watakushauri uoe mbuzi. Kazi ni kwako.
Ushauri mzuri kwa njia ya ucheshi. Very effective! Good Asprin
 
Last edited by a moderator:
Simple:

Wazazi wako wana matatizo. Na wewe huna maamuzi.

Iko siku watakushauri uoe mbuzi. Kazi ni kwako.

Au atuambie yeye ni wa wapi........inaweza kuwa sisi ndio hatumtaki........
 
Kwa nini wazazi hawataki nioe mke kutoka kaskazini yaani wachaga, wapare n.k... kwani wasichana wa huko wanamatatizo gani??
Wazazi wako wako sahihi 97% mimi nilikuwa mbishi sana kama wewe ila yaliyonikuta mpaka leo najutia jiulize kwanini hawakuzuii kanda zingine.Usiwapuuze waulize kwanini then tafakari sana
 
Wazazi wako wako sahihi 97% mimi nilikuwa mbishi sana kama wewe ila yaliyonikuta mpaka leo najutia jiulize kwanini hawakuzuii kanda zingine.Usiwapuuze waulize kwanini then tafakari sana

Unahitaji maombi...

Kwamba wazazi wako wasingekuwepo nawe usingeoa. Na usingeoa ungekuwa tayari kuolewa?
 
Kwa nini wazazi hawataki nioe mke kutoka kaskazini yaani wachaga, wapare n.k... kwani wasichana wa huko wanamatatizo gani??

wewe kama kuna mtu unaempenda wa kichaga chukua hakuna wanawake wanaojua kuitunza familia kama wachaga,tena wanauvumilivu uliopitiliza.hebu fikiri mtu anaoa mke anamuacha nyumbani anaenda kutafuta maisha mjini mwanamke anaiendesha famili kama vile baba yuko.
 
Wanawake Wakichaga Ni Wapo Njema Xana. Mi Mwenye Nataka Oa Uko Uko Nina Wangu Kule Af Mi Ni Wa Kusini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom