Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,510
Salamu kwenu wana JF wote.
Katika maisha ya kila siku tukiwa kama Binadamu tunakutana na changamoto nyingi. Miaka kama 8 iliyopita kuna ugomvi ulitokea kati yangu na Wifi yangu yaani Mke wa Kaka yangu, huyu Wifi yangu ni mtu mwenye hasira sana, kinyongo na anapenda kuzusha maneno ya uongo na anapenda sana ugomvi kwa kifupi hapendi Ndugu wa Mume na Mume wake analitambua hilo.
Katika ugomvi huo aliniambia kuwa nitaishi maisha ya shida, ukweli ni kwamba maisha yangu yamekuwa ya shida kama alivyotamka.
Naomba ushauri je huyu Wifi yangu atakuwa ni mtu wa aina gani? Je nifanye nini ili niweze kutatua hii changamoto? Maana kama ni maombi nimefanya sana maombi.
Kwa niaba ya Rafiki yangu naomba kuwakilisha.
Katika maisha ya kila siku tukiwa kama Binadamu tunakutana na changamoto nyingi. Miaka kama 8 iliyopita kuna ugomvi ulitokea kati yangu na Wifi yangu yaani Mke wa Kaka yangu, huyu Wifi yangu ni mtu mwenye hasira sana, kinyongo na anapenda kuzusha maneno ya uongo na anapenda sana ugomvi kwa kifupi hapendi Ndugu wa Mume na Mume wake analitambua hilo.
Katika ugomvi huo aliniambia kuwa nitaishi maisha ya shida, ukweli ni kwamba maisha yangu yamekuwa ya shida kama alivyotamka.
Naomba ushauri je huyu Wifi yangu atakuwa ni mtu wa aina gani? Je nifanye nini ili niweze kutatua hii changamoto? Maana kama ni maombi nimefanya sana maombi.
Kwa niaba ya Rafiki yangu naomba kuwakilisha.