Malingumu
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 616
- 429
Habarini...
Kuna rafiki yangu anafanya kazi ya ofisini ila muda wake wa kuingia ni saa nne asubuhi... nimemshauri kuwa kabla ya kuingia ofisini anaweza akafanya kitu cha kumuingizia hela... sasa ameniuliza ni kitu gani? Mimi nikawa na idea moja ya kutengeneza say vitafunwa na kuvisambaza sehemu kama akizipata... naombeni ushauri zaidi ni biashara gani anaweza fanya muda huo kabla ya kwenda ofisini maana mimi naona ni masaa mengi ati kukaa tu na kusubiri muda wa kazini ni wastage of time kijasiriamali..
Tafadhalini ongezeeni mawazo!!!
Kuna rafiki yangu anafanya kazi ya ofisini ila muda wake wa kuingia ni saa nne asubuhi... nimemshauri kuwa kabla ya kuingia ofisini anaweza akafanya kitu cha kumuingizia hela... sasa ameniuliza ni kitu gani? Mimi nikawa na idea moja ya kutengeneza say vitafunwa na kuvisambaza sehemu kama akizipata... naombeni ushauri zaidi ni biashara gani anaweza fanya muda huo kabla ya kwenda ofisini maana mimi naona ni masaa mengi ati kukaa tu na kusubiri muda wa kazini ni wastage of time kijasiriamali..
Tafadhalini ongezeeni mawazo!!!