BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,192
Jamaa yangu ana kiasi Cha Tzs 18m. Anataka kufanya biashara ya online tv, nimemwambia aachane nayo, afanye biashara ya saloon ya like na kiume.
He ungekuwa wewe ungemshauri kitu gani
He ungekuwa wewe ungemshauri kitu gani
