Mimi nimeoa ingawa sio official (hatujafunga ndoa rasmi ila nimeshamlipia na tunaishi pamoja)
Kwa bahati mbaya mke wangu ni aina ile ya wanawake wanaoongea na kupanda juu sana kipindi cha ugomvi(mtu wa makelele sana)
Mimi nafanya biashara na napenda sana utulivu nikiwa home ili niweze kuwaza mambo yangu
Sasa hali hii ya wife ilinipa shida mpk tukapita kwa washaur kadhaa waliobobea ila wap! Kesi zikienda kwa mama yake anakuwa upande wa binti(ni kama anamuogopa mtoto wake sababu sisi ndo tunawawezesha sana kiuchumi so mke wangu ndo lastborn ila ana saut kwao sana)
Mwaka jana mwezi wa 10 hali ilikuwa mbaya mpaka tukatengana. Kwa taratibu za kabila langu huwez mfukuza mwanamke ila we ndo unajitenga!
So mwaka jana nilihama kwangu nikaenda kupanga ili angalau tupeane space
Tatizo hapo ndo lilipotokea sababu ya stress na upwele nikajikuta nakuwa na mahusiano mawili matatu na wanake ninaofahamiana nao
Tulisex yes ingawa kila mmoja alijua kabisa sio mahusiano serious
Mahusiano yalikuwa ya muda mfupi kwa kila mmoja
Wote ilikuwa Oct na Nov basi Dec nilikuwa busy na biashara so sikutengeneza mahusiano yoyote
Kuanzia January ndo sekeseke lilianza me kuanza kupewa taarifa za ujauzito na wape mabinti kila mmoja kwa wakat wake(wa mwisho alikuja nambie Feb)
Sababu hatukuwa na mahusiano serious me niliwaza option zingine cha ajabu kila mmoja alikataa(kila mtu kwa muda wake na hawajuani)
Basi maisha yakaendelea!
Feb mimi na wife tukasuruhishwa na yakaisha
Wife hajabadilika ni mtihan kinyama ila nimeamua hili ndo zigo langu ntakufa nalo acha nilibebe ivyo ivyo
Wale wadada wawili washajifungua na nawasaidia kwa kias chake sababu kdg kiuchumi siko vibaya
Sasa nawaza kumwambia wife ila nashindwa pa kuanzia na naogopa huko mbele akija kujua itakuwaje?
Au nitumie mbinu gan kumweleza? Asichukie na kuvunja ndoa)
(Yule mdada mwingine mara ya mwisho tulitofautiana kauli akapotea na kubadili mawasiliano simpati mpaka leo ingawa nahisi atakuwa kajifungua pia)
Inaniumiza kwa na watoto wengi ivyo nie ila ndo ishatokea sina namna
Kwa bahati mbaya mke wangu ni aina ile ya wanawake wanaoongea na kupanda juu sana kipindi cha ugomvi(mtu wa makelele sana)
Mimi nafanya biashara na napenda sana utulivu nikiwa home ili niweze kuwaza mambo yangu
Sasa hali hii ya wife ilinipa shida mpk tukapita kwa washaur kadhaa waliobobea ila wap! Kesi zikienda kwa mama yake anakuwa upande wa binti(ni kama anamuogopa mtoto wake sababu sisi ndo tunawawezesha sana kiuchumi so mke wangu ndo lastborn ila ana saut kwao sana)
Mwaka jana mwezi wa 10 hali ilikuwa mbaya mpaka tukatengana. Kwa taratibu za kabila langu huwez mfukuza mwanamke ila we ndo unajitenga!
So mwaka jana nilihama kwangu nikaenda kupanga ili angalau tupeane space
Tatizo hapo ndo lilipotokea sababu ya stress na upwele nikajikuta nakuwa na mahusiano mawili matatu na wanake ninaofahamiana nao
Tulisex yes ingawa kila mmoja alijua kabisa sio mahusiano serious
Mahusiano yalikuwa ya muda mfupi kwa kila mmoja
Wote ilikuwa Oct na Nov basi Dec nilikuwa busy na biashara so sikutengeneza mahusiano yoyote
Kuanzia January ndo sekeseke lilianza me kuanza kupewa taarifa za ujauzito na wape mabinti kila mmoja kwa wakat wake(wa mwisho alikuja nambie Feb)
Sababu hatukuwa na mahusiano serious me niliwaza option zingine cha ajabu kila mmoja alikataa(kila mtu kwa muda wake na hawajuani)
Basi maisha yakaendelea!
Feb mimi na wife tukasuruhishwa na yakaisha
Wife hajabadilika ni mtihan kinyama ila nimeamua hili ndo zigo langu ntakufa nalo acha nilibebe ivyo ivyo
Wale wadada wawili washajifungua na nawasaidia kwa kias chake sababu kdg kiuchumi siko vibaya
Sasa nawaza kumwambia wife ila nashindwa pa kuanzia na naogopa huko mbele akija kujua itakuwaje?
Au nitumie mbinu gan kumweleza? Asichukie na kuvunja ndoa)
(Yule mdada mwingine mara ya mwisho tulitofautiana kauli akapotea na kubadili mawasiliano simpati mpaka leo ingawa nahisi atakuwa kajifungua pia)
Inaniumiza kwa na watoto wengi ivyo nie ila ndo ishatokea sina namna