Therapist 2015
JF-Expert Member
- Aug 4, 2018
- 791
- 832
- Thread starter
-
- #41
Mbona kama cv yangu kwa jamii yangu niliyoetengeneza itaharibika kwa Kasi kubwa nikitorosha maana tumekutanikia kanisaniMtoroshe...huwa wamasai wanamila ya kuoa kwa mwanaume kumtorosha binti na wewe fanya hivyo....yaani anahamia kwako bila idhini ya wazazi. Watakupiga faini maisha yanaendelea.
Shida binti ni wife material mtupuMapenzi yalinitia upofu kama wewe, ila niliishia kuachana na mwanamke akiwa na mimba ya miezi 9, akazaa after two weeks
nimejifunza kupita kiasi.
tani hata akigoma mtoto wa miaka mitano, sitaoa kamwe!!
pambana na ukipendacho mkuu usikubali kuacha mtu unayempenda nenda kamwage helaHabari ya uzima ndugu Wana JF,, poleni na majukumu ya kila siku.
Nimempenda binti wa kimasai naniko tiyari kwenda kwao kufanya taratibu za kuoana. Ugumu unakuja kwa kaka zake hawataki dada yao aolewe kwa mwanamme asiye masai. wakati huo mama wa binti amekubali na hajui kiswahili na namna ya kuongea naye vigumu.
Kaka ake mkubwa ndo mlezi mkubwa aliyemlea binti tangu mdogo pindi baba yao alipofariki. Binti wa wawatu amekufa ameoza kwangu kama ilivyo kwangu.
Naombeni ushauri wenu wenye experience na case hii. Natanguliza shukrani kwenu wakuu.
Mkuu wanasema asiyesikia ya wengi anatakiwa aachwe. Shida utaipata kwa wana ndugu..Shida binti ni wife material mtupu
Una maanisha nini mkuuuMkuu wanasema asiyesikia ya wengi anatakiwa aachwe. Shida utaipata kwa wana ndugu..
mwenzako nilishauriwa hapa hapa jf nikakaza fuvu
Unaweza kuua simba ndugu yetu pendwa kutoka daslam.... wale huwa hawana shida ya pesa, wanataka mkia wa simba dumeHabari ya uzima ndugu Wana JF,, poleni na majukumu ya kila siku.
Nimempenda binti wa kimasai naniko tiyari kwenda kwao kufanya taratibu za kuoana. Ugumu unakuja kwa kaka zake hawataki dada yao aolewe kwa mwanamme asiye masai. wakati huo mama wa binti amekubali na hajui kiswahili na namna ya kuongea naye vigumu.
Kaka ake mkubwa ndo mlezi mkubwa aliyemlea binti tangu mdogo pindi baba yao alipofariki. Binti wa wawatu amekufa ameoza kwangu kama ilivyo kwangu.
Naombeni ushauri wenu wenye experience na case hii. Natanguliza shukrani kwenu wakuu.
Kwani hao kaka zake ndo waliomzaa au ndiyo waliamua dada yao azaliwe?Mama mtu hana sauti mbele ya vijana wake. Vijana wake wameshikilia kipengele Cha waswahili( makabila tofauti na wamasai) hawezi kujenga boma( kudumu na familia).
Fata taratibu za kabila husika, nyege mshindo hizo zisikupofushe macho, kwa vigezo gani ulivotumia kuthibitisha hayo, huwajui hilo kabila wewe. Tafuta mzee wa heshima wa kabila husika akupe data. Otherwise unajitafutia matatizo tuShida binti ni wife material mtupu
Wanawake wakimasai ni wazuri maana utawapelekesha ila sio kwa mambo ya kijinga ni yakimaendeleo.Unique Flower njoo utoe ushauri
Mimi Ni Maasai Mwenye asili ya Oltokitok.
Naona Kuna watu wanakushauri umpe mimba. Hiyo siyo njia nzuri ya kumpata huyo binti kwani kwa Kufanya hivyo ni kuanzisha migogoro ambayo Unaweza ukajihatarishia maisha yako, jamii yetu ina tamaduni static.
Njia nzuri; mpange huyo binti atishie kujiua endapo atazuiliwa usimuoe Mara nyingi hii njia inafanya kazi
Naweza mkuuUnaweza kuua simba ndugu yetu pendwa kutoka daslam.... wale huwa hawana shida ya pesa, wanataka mkia wa simba dume
Kwa namna wanavyonikazia inaonekanaKwani hao kaka zake ndo waliomzaa au ndiyo waliamua dada yao azaliwe?
Hapo chukua binti anza kuishi naye maana imeandikwa mtu ataachana na baba na mama yake ataambatana mwenza wake....
Vitu vingine ni ubaguzi wa wazi. Wamasai ni wabaguzi balaa ingawa haisemwi sana
NotedFata taratibu za kabila husika, nyege mshindo hizo zisikupofushe macho, kwa vigezo gani ulivotumia kuthibitisha hayo, huwajui hilo kabila wewe. Tafuta mzee wa heshima wa kabila husika akupe data. Otherwise unajitafutia matatizo tu
Why mimba kwanzaTia mimba kwanza
Inawezekana, maana nimeomba kaka zake mara nyingi bado wamekazaWanawake wakimasai ni wazuri maana utawapelekesha ila sio kwa mambo ya kijinga ni yakimaendeleo.
Wamasai wanajiheshimu , wapole wanatafakari jambo kabla ya kutoa maamuzi na pia wanaheshimu jamii inayowazunguka ila hawapendi watu wasiofaa