Ushauri wenu unahitajika hapa

Mwaraaaabuuu
 
Hajakeketwa?
 
Tafuta mkalimani wa kimasai nenda kwa mama mkamalize taratibu zao.


Hao wakaka usihangaike nao
 
Tafuta mkalimani wa kimasai nenda kwa mama mkamalize taratibu zao.


Hao wakaka usihangaike nao
Mama mtu hana sauti mbele ya vijana wake. Vijana wake wameshikilia kipengele Cha waswahili( makabila tofauti na wamasai) hawezi kujenga boma( kudumu na familia).
 
Mapenzi yalinitia upofu kama wewe, ila niliishia kuachana na mwanamke akiwa na mimba ya miezi 9, akazaa after two weeks

nimejifunza kupita kiasi.

tani hata akigoma mtoto wa miaka mitano, sitaoa kamwe!!
 
Mtoroshe...huwa wamasai wanamila ya kuoa kwa mwanaume kumtorosha binti na wewe fanya hivyo....yaani anahamia kwako bila idhini ya wazazi. Watakupiga faini maisha yanaendelea.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ