Ushauri wenu ni muhimu

Ushauri wenu ni muhimu

Kiazi Kitamu

Senior Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
122
Reaction score
126
Habari wana MMU! Mimi ni kijana wa kiume nina umri miaka 29. Nina mchumba wangu kwa sasa tuna muda wa miezi10 ktk mahusiano yetu kuna jambo kubwa ambalo linanisibu na mara nyingi tunatokea kutoelewana mra nyingi ni kulaumiana na hasa yeye ananilaumu kuwa simjali kwa chchote angali kwa uwezo wangu kuna baadhi ya mambo najitahidi sana kumtimizia pindi anapohitaji ila mwenzangu haridhiki na hilo. Kubwa zaidi hivi karibuni alianzisha biashara yake baada ya kupewa mtaji na wazazi wake ila wakati anaanzisha hakunishirikisha kabisa ila kwa sasa anataka nimlipie kodi ya fremu angali sijawahi kuona hata siku moja faida ya hiyo biashara japo kwa kuelezwa kilichopatikana. Hiyo haikutosha nilijitaidi kwa kumuongezea mtaji baada ya kuniomba ni kampatia laki 4, hata hivyo wakati wote akisafirisha mzigo mimi nagharamia kila kitu. Ila leo ananiambia sina msaada wowote kwake na ni bora asiwe na mwanume . Sasa mimi nifanye nini kwani nilishatangaza kwa ndugu na jamaa kuwa ndio mke wangu mtarajiwa ila kila kukicha ni vituko hakuna amani naomba ushauri wenu ndugu zangu niko njiapanda. NAWASILISHA
 
Pasua kichwa huyo. Hapo kuna mambo mawili, either uwe maskini na kukubali kulaumiwa kila siku wakati hela unatoa na hata faida haupati share yako au kumtuliza kuweka business plan vizuri na kufanya biashara kiuhalisia.

Kwenye biashara wekeni mapenzi pembeni na yeye hajue kabisa. Kama hawezi kutofautisha biashara na mapenzi chapa lapa
 
^^
Heri ufanye kosa la kuwajulisha ndugu kuwa utamuoa..kuliko kufanya kosa la kuoa mfanyabiashara wa ndoa
^^
 
Habari wana MMU! Mimi ni kijana wa kiume nina umri miaka 29. Nina mchumba wangu kwa sasa tuna muda wa miezi10 ktk mahusiano yetu kuna jambo kubwa ambalo linanisibu na mara nyingi tunatokea kutoelewana mra nyingi ni kulaumiana na hasa yeye ananilaumu kuwa simjali kwa chchote angali kwa uwezo wangu kuna baadhi ya mambo najitahidi sana kumtimizia pindi anapohitaji ila mwenzangu haridhiki na hilo. Kubwa zaidi hivi karibuni alianzisha biashara yake baada ya kupewa mtaji na wazazi wake ila wakati anaanzisha hakunishirikisha kabisa ila kwa sasa anataka nimlipie kodi ya fremu angali sijawahi kuona hata siku moja faida ya hiyo biashara japo kwa kuelezwa kilichopatikana. Hiyo haikutosha nilijitaidi kwa kumuongezea mtaji baada ya kuniomba ni kampatia laki 4, hata hivyo wakati wote akisafirisha mzigo mimi nagharamia kila kitu. Ila leo ananiambia sina msaada wowote kwake na ni bora asiwe na mwanume . Sasa mimi nifanye nini kwani nilishatangaza kwa ndugu na jamaa kuwa ndio mke wangu mtarajiwa ila kila kukicha ni vituko hakuna amani naomba ushauri wenu ndugu zangu niko njiapanda. NAWASILISHA
We usha achwa!!!!wala usisumbuke kuna mwanaume anakula nae good tym kwasasa
 
Acha utoto bana...mapenzi gani hayo...?man up
 
Habari wana MMU! Mimi ni kijana wa kiume nina umri miaka 29. Nina mchumba wangu kwa sasa tuna muda wa miezi10 ktk mahusiano yetu kuna jambo kubwa ambalo linanisibu na mara nyingi tunatokea kutoelewana mra nyingi ni kulaumiana na hasa yeye ananilaumu kuwa simjali kwa chchote angali kwa uwezo wangu kuna baadhi ya mambo najitahidi sana kumtimizia pindi anapohitaji ila mwenzangu haridhiki na hilo. Kubwa zaidi hivi karibuni alianzisha biashara yake baada ya kupewa mtaji na wazazi wake ila wakati anaanzisha hakunishirikisha kabisa ila kwa sasa anataka nimlipie kodi ya fremu angali sijawahi kuona hata siku moja faida ya hiyo biashara japo kwa kuelezwa kilichopatikana. Hiyo haikutosha nilijitaidi kwa kumuongezea mtaji baada ya kuniomba ni kampatia laki 4, hata hivyo wakati wote akisafirisha mzigo mimi nagharamia kila kitu. Ila leo ananiambia sina msaada wowote kwake na ni bora asiwe na mwanume . Sasa mimi nifanye nini kwani nilishatangaza kwa ndugu na jamaa kuwa ndio mke wangu mtarajiwa ila kila kukicha ni vituko hakuna amani naomba ushauri wenu ndugu zangu niko njiapanda. NAWASILISHA

Ndoa ni taasisi nyingine ndugu yangu,kosea kujenga nyumba lakini si kuoa.Kwa kifupi huyo mchumba wako ni pasua kichwa hao ndiyo wale wakiona umeishiwa anakukimbia mazima.Ndoa si uboyfriend wala ugirlfriend ndoa ni taasisi kubwa kuliko hata shirika la TANESCO wachana nae huyo atakusumbua mbele ya safari
 
mkuu hebu jaribu kuwa mwanaume, hadi hapo anaonesha no love bt unafiki(ukiwa nacho anakupenda,ukimpa anataka zaidi,ukimnyima ananuna na hana shukurani hata kidogo)We unazani unamsaidia lakn kumbe unapotea kwa kumsaidi mtu asiye jali utu wako
Broo unakosea saaana na kosa lako ni kwamba unaogopa kumpoteza mtu ukiamini kwamba yy ni wa thamani sana na umesahau kwamba hata ww ni wathamani pia.
WAKUBWA WALISEMA KWAMBA:
People think that the most painful thing in life is losing the one you value.
The truth is the most painful thing is losing yourself in the process of valuing someone too much and forgetting that "YOU ARE SPECIAL TOO"!!
 
hamna mke hapo wewe...kwanza msiri huyo na yupo after money...she using her bottom power kupata hela.
mwambie akauze tuu.
 
Mhhhh! Yaani juhudi zako zote hizo za kumsaidia lakini hana hata shukrani!!!! Kaa chini muongee na umwambie wazi kwamba tabia yake ya kutokuwa na shukrani kwa msaada wako inakukera sana na kama anataka msaada zaidi kwenye biashara yake basi ni vizuri akushirikishe kujua biashara inaingiza faida au hasara isije kuwa ni shimo ambalo linatafuna pesa tu. Kama unaona bado haeleweki basi sepa haraka sana maana kishakutamkia kwamba huna msaada na ni bora asiwe na mwanaume.
 
tuwage na shukurani wajameni..........,mtu kajipindaa we katoa hela yake lakin

hata huridhili kha
 
Habari wana MMU! Mimi ni kijana wa kiume nina umri miaka 29. Nina mchumba wangu kwa sasa tuna muda wa miezi10 ktk mahusiano yetu kuna jambo kubwa ambalo linanisibu na mara nyingi tunatokea kutoelewana mra nyingi ni kulaumiana na hasa yeye ananilaumu kuwa simjali kwa chchote angali kwa uwezo wangu kuna baadhi ya mambo najitahidi sana kumtimizia pindi anapohitaji ila mwenzangu haridhiki na hilo. Kubwa zaidi hivi karibuni alianzisha biashara yake baada ya kupewa mtaji na wazazi wake ila wakati anaanzisha hakunishirikisha kabisa ila kwa sasa anataka nimlipie kodi ya fremu angali sijawahi kuona hata siku moja faida ya hiyo biashara japo kwa kuelezwa kilichopatikana. Hiyo haikutosha nilijitaidi kwa kumuongezea mtaji baada ya kuniomba ni kampatia laki 4, hata hivyo wakati wote akisafirisha mzigo mimi nagharamia kila kitu. Ila leo ananiambia sina msaada wowote kwake na ni bora asiwe na mwanume . Sasa mimi nifanye nini kwani nilishatangaza kwa ndugu na jamaa kuwa ndio mke wangu mtarajiwa ila kila kukicha ni vituko hakuna amani naomba ushauri wenu ndugu zangu niko njiapanda. NAWASILISHA

.....njia panda ya wapi sasa,,,chalinze au himo?...bro hapo kusanya vyako uanze,,,huyo yuko kibiashara zaidi,,, mbinafsi........
 
Amka wewe usinziaye, ufufuke katika wafu...
 
mkuu hebu jaribu kuwa mwanaume, hadi hapo anaonesha no love bt unafiki(ukiwa nacho anakupenda,ukimpa anataka zaidi,ukimnyima ananuna na hana shukurani hata kidogo)We unazani unamsaidia lakn kumbe unapotea kwa kumsaidi mtu asiye jali utu wako
Broo unakosea saaana na kosa lako ni kwamba unaogopa kumpoteza mtu ukiamini kwamba yy ni wa thamani sana na umesahau kwamba hata ww ni wathamani pia.
WAKUBWA WALISEMA KWAMBA:
People think that the most painful thing in life is losing the one you value.
The truth is the most painful thing is losing yourself in the process of valuing someone too much and forgetting that "YOU ARE SPECIAL TOO"!!

......kaka umempa mistari muhimu sana...kama kweli anahitaji ushauri .....atumie hayo hapo....
 
....na kweli wewe kiazi kitamu.....ndo maana anakukula....amka kumepambazuka...
 
Ukiona manyoyaa.....

Hakufai....utaumia sana kumoyo ila tupa kulee

Utapata mwingine Mungu ni mwema
 
Daah! Umeshakula hasara kaka! Ila siyo saana! Huyo ni money monger ashakufanya atm yake! Na hivi umeshamtambulisha kwenu hee anajiona kafika! Mbwage tuu mbona wapo wengi hao viumbe utakufa cku c zako maisha yenye mafupi haya!shauli yako!
 
Mulika mwizi kk...hapo unaibiwa na haoni umuhimu wako ndo maana anakwambia hataki mwanaume ila kiukweli hakutaki ww na mwanaume lazima anae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom