Ushauri wenu ndugu zangu

Kakukubali kimapenzi na haja zako anakutimizia!!!!
Kakuambia ukweli dhahiri!!!!
Kakupa ushauri utafute mwingine "wakati uko na yeye" she is so kind hataki uhahe na njia!!!!!
Kakupa na mission ya maisha yake kuonesha yuko serious na hiyo kitu!!!

Unataka nini kiumbe mzito wewe????!!!!!
 
Soma kwanza kijana tafuta first class utaona wanajileta wenyewe.
 
Watu mna muda wa kuchezea hapa bongo.
 
Hivi mpaka hapo anasubiri nini?? Dude move on!!!
hivi siku hizi kitufe cha like kimeondolewa eehh!! nataka nikiugongee nashindwa,back to the topic mwache aendelee kumkumbatia huyo anayemuita duh wake akipata experience ya mapenzi next time hatakuja kutaka ushauri hapa atanyambua mambo yy mwenywe
 
Shangaa na wewe Aisee wamenibania laiki eh?
hivi siku hizi kitufe cha like kimeondolewa eehh!! nataka nikiugongee nashindwa,back to the topic mwache aendelee kumkumbatia huyo anayemuita duh wake akipata experience ya mapenzi next time hatakuja kutaka ushauri hapa atanyambua mambo yy mwenywe
 
..mmh! Ila tusimsemee saana ndugu yangu, unajua mapenzi upofu. Huenda anaamini ipo siku binti atabadili mawazo arudi kwake
ndo mana nikasema sometime its beta akapata experince sasa hivi na stress za ujanani ili baadae akikua yasimzingue tena na kuweza kuwaathiri wanaomtegemea
 
Mweleze mamayako haya uliyotueleza ataelewa tu. And its time to move on.
 
anza upya, she's ur another wrong person ever meet with!
WA mwisho ndo atakuwa wa kwanza!
 
Mchongoma haukumbatiwi wewe kijana...
 

Hv vijana mbona hamjui kujitambua wew chapa lapa haupendek sahau kuhsu investment ulyoiweka kwake muache aende zako unamng'ang'ania kwan ni mamako uyo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…