OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
hivi siku hizi kitufe cha like kimeondolewa eehh!! nataka nikiugongee nashindwa,back to the topic mwache aendelee kumkumbatia huyo anayemuita duh wake akipata experience ya mapenzi next time hatakuja kutaka ushauri hapa atanyambua mambo yy mwenyweHivi mpaka hapo anasubiri nini?? Dude move on!!!
Aisee wamenibania laiki eh?Kakukubali kimapenzi na haja zako anakutimizia!!!!
Kakuambia ukweli dhahiri!!!!
Kakupa ushauri utafute mwingine "wakati uko na yeye" she is so kind hataki uhahe na njia!!!!!
Kakupa na mission ya maisha yake kuonesha yuko serious na hiyo kitu!!!
Unataka nini kiumbe mzito wewe????!!!!!
hivi siku hizi kitufe cha like kimeondolewa eehh!! nataka nikiugongee nashindwa,back to the topic mwache aendelee kumkumbatia huyo anayemuita duh wake akipata experience ya mapenzi next time hatakuja kutaka ushauri hapa atanyambua mambo yy mwenywe
sijambo mzima wa afya,hofu kwako tu.hujambo Mndengereko
ndo mana nikasema sometime its beta akapata experince sasa hivi na stress za ujanani ili baadae akikua yasimzingue tena na kuweza kuwaathiri wanaomtegemea..mmh! Ila tusimsemee saana ndugu yangu, unajua mapenzi upofu. Huenda anaamini ipo siku binti atabadili mawazo arudi kwake
au hicho kitufe kwako kinaonekana? isije ikawa comp yangu imeanza kuwa ya kichinaShangaa na wewe
Aisee wamenibania laiki eh?
Hamna. Hata kwenye phone yangu hamna.au hicho kitufe kwako kinaonekana? isije ikawa comp yangu imeanza kuwa ya kichina
usijali nishaconfirm wamekitoa may bwatakirudisha baadaeHamna. Hata kwenye phone yangu hamna.
usijali nishaconfirm wamekitoa may bwatakirudisha baadae
itakuwa nii tatizo ambalo lipo nje ya uwezo wao,au labda pengine wanakuonea wivu unafaidi sana.Ma big. I wish watueleze imekuwaje wakatoa.
Eh eheeeh! Ndo umesemaje???anza upya, she's ur another wrong person ever meet with!
WA mwisho ndo atakuwa wa kwanza!
Hahaaaa. Lmao. You caught me offguard nimechekajeee?itakuwa nii tatizo ambalo lipo nje ya uwezo wao,au labda pengine wanakuonea wivu unafaidi sana.
hehehehHahaaaa. Lmao. You caught me offguard nimechekajeee?
Wasaalam
Mimi ni kijana wa makamo tu nipo chuo mwaka wa mwisho sasa..kuna binti ni mpnz wangu wa mda mrefu karibu mwaka sasa tulikua tunapenda sana hadi ikafika steji nikamtambulisha kwa wazazi wangu kua nikimaliza chuo anaweza kua mke wangu wa ndoa..
Juz wakati nipo kwenye mitiani yangu ya semister nikaamua kumpigia mchumba wang Uck niongee nae ilikua mida ya sa4 uck ikawa simu yake inatumika nikawa nampigia mara kwa mara mpk sa7 nikaamua kulala zangu ikumbuke nina mitian asbh nikampigia nikamuuliza jana uck ulikua unaongea na nani? Akanijb rafiki yangu..nikamuuliza rafk yko gani unayeongea nae mda wote uo ata kuona simu yangu hustuki?
Majibu yake sasa..
Nanukuu..bwana ee wewe unatakaje? Aya nilikua naongea na mwanaume unaamuaje? Niliishiwa nguvu akaendelea..
Kwanza nilikua nakusuburi umalize mitian nikupe suprize mimi nipo kwa ajili ya kulipiza kisasi kuna mwanaume nilimpenda sana akatoa hdi mahari kwetu lakin akanikimbia sasa wewe nakuona kama walewale tu..umelia sana na watalia wengi sana jpo nakupenda wewe lkn naumia naona kama nitakutesa tafuta wa kuishi nae wakati upo na mimi...
Nimefanya uchunguzi binafsi nimegundua kuna binamu yake anampa kiburi kwa vile anakauwezo flni kimaisha mimi sina kitu kwa vile bdo nipo masomoni..
Naombeni ushauri wenu nifanyeje kwa vile mama angu aliniambia nisimpelekee msichana mwingine zaid ya yule kwa vile wanapendana sana na ni marafiki wa karibu