Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,784
- 3,205
Wasaalam
Mimi ni kijana wa makamo tu nipo chuo mwaka wa mwisho sasa..kuna binti ni mpnz wangu wa mda mrefu karibu mwaka sasa tulikua tunapenda sana hadi ikafika steji nikamtambulisha kwa wazazi wangu kua nikimaliza chuo anaweza kua mke wangu wa ndoa..
Juz wakati nipo kwenye mitiani yangu ya semister nikaamua kumpigia mchumba wang Uck niongee nae ilikua mida ya sa4 uck ikawa simu yake inatumika nikawa nampigia mara kwa mara mpk sa7 nikaamua kulala zangu ikumbuke nina mitian asbh nikampigia nikamuuliza jana uck ulikua unaongea na nani? Akanijb rafiki yangu..nikamuuliza rafk yko gani unayeongea nae mda wote uo ata kuona simu yangu hustuki?
Majibu yake sasa..
Nanukuu..bwana ee wewe unatakaje? Aya nilikua naongea na mwanaume unaamuaje? Niliishiwa nguvu akaendelea..
Kwanza nilikua nakusuburi umalize mitian nikupe suprize mimi nipo kwa ajili ya kulipiza kisasi kuna mwanaume nilimpenda sana akatoa hdi mahari kwetu lakin akanikimbia sasa wewe nakuona kama walewale tu..umelia sana na watalia wengi sana jpo nakupenda wewe lkn naumia naona kama nitakutesa tafuta wa kuishi nae wakati upo na mimi...
Nimefanya uchunguzi binafsi nimegundua kuna binamu yake anampa kiburi kwa vile anakauwezo flni kimaisha mimi sina kitu kwa vile bdo nipo masomoni..
Naombeni ushauri wenu nifanyeje kwa vile mama angu aliniambia nisimpelekee msichana mwingine zaid ya yule kwa vile wanapendana sana na ni marafiki wa karibu
Mimi ni kijana wa makamo tu nipo chuo mwaka wa mwisho sasa..kuna binti ni mpnz wangu wa mda mrefu karibu mwaka sasa tulikua tunapenda sana hadi ikafika steji nikamtambulisha kwa wazazi wangu kua nikimaliza chuo anaweza kua mke wangu wa ndoa..
Juz wakati nipo kwenye mitiani yangu ya semister nikaamua kumpigia mchumba wang Uck niongee nae ilikua mida ya sa4 uck ikawa simu yake inatumika nikawa nampigia mara kwa mara mpk sa7 nikaamua kulala zangu ikumbuke nina mitian asbh nikampigia nikamuuliza jana uck ulikua unaongea na nani? Akanijb rafiki yangu..nikamuuliza rafk yko gani unayeongea nae mda wote uo ata kuona simu yangu hustuki?
Majibu yake sasa..
Nanukuu..bwana ee wewe unatakaje? Aya nilikua naongea na mwanaume unaamuaje? Niliishiwa nguvu akaendelea..
Kwanza nilikua nakusuburi umalize mitian nikupe suprize mimi nipo kwa ajili ya kulipiza kisasi kuna mwanaume nilimpenda sana akatoa hdi mahari kwetu lakin akanikimbia sasa wewe nakuona kama walewale tu..umelia sana na watalia wengi sana jpo nakupenda wewe lkn naumia naona kama nitakutesa tafuta wa kuishi nae wakati upo na mimi...
Nimefanya uchunguzi binafsi nimegundua kuna binamu yake anampa kiburi kwa vile anakauwezo flni kimaisha mimi sina kitu kwa vile bdo nipo masomoni..
Naombeni ushauri wenu nifanyeje kwa vile mama angu aliniambia nisimpelekee msichana mwingine zaid ya yule kwa vile wanapendana sana na ni marafiki wa karibu