mjinishure
Member
- Oct 19, 2012
- 86
- 56
ndio hivo ndugu paka sasa sielewi nishauri kakaMmmh hii mbona ngumu sasa
kwahiyo nibora awakosee wazazi wakeMuoe huyo mtu mwanamke ukimuacha utajuta
no nampenda sanaUnataka kumuoa huyo dada au kuoa ndugu zake?
Kama yeye yuko tayari kubadili dini na yeye hawaogopi hao wazazi wake wewe unasikiliza ushauri wa watu ili iweje?
Humpendi tu huyo dada sema
kaka inaweza ukawa ushauri wako nimzuri ila unapaniki mapema sema nimekuelewaWewe ni lofa shenz zako huna akili hata moja wewe ni kabila gan jinga jinga hivyo
Nyie majinga hamutaisha dunian sasa kama yeye kakubali kubadili din afu wewe unaleta nyodo za kike kike una akili kweli wewe nyumbu mkubwa wewe
Oa huyo ni mwanamke mzur sana shenz zako
Ipo siku wazazi watatambua thaman yake na uhitaji wake katika kufanikiwa kifamilia hivyo kila kitu kutakuwa sawakwahiyo nibora awakosee wazazi wake
asante kwa ushauri wakoIpo siku wazazi watatambua thaman yake na uhitaji wake katika kufanikiwa kifamilia hivyo kila kitu kutakuwa sawa
Mytake:huyo binti atawatosa ndugu zake kwa ajili yako make sure unampa thaman anayo stahili na Hakikisha unakuwa kila kitu kwake sio uje uwe Tatzo badae
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Unampenda ungekuwa huna msimamo hivyo? Kwanza ungempenda kiukweli ungeweza hata wewe kubadili dini sababu yake achilia mbali kukubali yeye abadili.no nampenda sana
Unajua nyie ndo mnasababisha wanaume wote tuonekane malofa sasa huo ushaul ulionda kutafuta kwa hao jamaa zako ni wa nini, wewe ni kabila gan mkuukaka inaweza ukawa ushauri wako nimzuri ila unapaniki mapema sema nimekuelewa
duuu kaka ndio kusema wakimwaga mboga wewe mwaga ugariHuyo binti inaonekana ana mapenzi ya kweli, chakufanya we mpe ujauzito alafu tafuta wazee kakaongee na wazazi wake watakuelewa tu
Nitakwambia vitu vitatu:no nampenda sana