Hongereni wananchi....
Tujipange msimu ujao, ushauri wangu... Dirisha hili la usajili... Hatuna namna lazima tusajili beki wa katikati wa akiba, Yanga tumekua tukibweteka Sana na eneo hili kutokana na bahati ya kwamba Dickson job na Ibra Bacca wamekua wakicheza misimu Kwa misimu bila kupata majeraha, hili eneo inabidi tulitafakari maana tunaona mamnyeto umri unaanza kumtupa mkono, tujiuze tu iwapo mtu kama bacca apate majeraha ya muda katikati ya msimu(kwenye soka haya mambo yapo), je tuna backup ya maana kuendelea kucheza mechi zetu bila hofu?
Tusajili beki potential tu asie na makuu Sana kama backup sio beki ambae atakuja na lengo ya kuanza first 11 Moja Kwa Moja, bacca na job Bado wanatosha Kwa Sasa
Eneo la kiungo Sina Sana shida nalo, maana abuya anaweza kucover namba ya aucho
Pale Kwa Aziz K tunahitaji mbadala, winga pia lazima tupate mwingine mwenye uwezo wa kupunguza watu maana pacome wote tunajua historia yake ya majeraha.....
Kwenye mshambuliaji Bado sielewi, dube kama ana click anapotea nashindwa kumpa imani Moja Kwa Moja ila nahisi msimu ujao atabadilika
Swala la msingi kuliko lote, aisee bacca mpeni mkataba wa kueleweka, huyu jamaa angekua na wakala mjanja mjanja kama wa kibu d, angetutesa Sana aisee, bacca ni mchezaji na nusu hakikisheni mafao yake yanaendana na jasho lake uwanjani, Kuna kipindi miaka ya nyuma kipindi kile Bado mayele yupo nilisoma mikataba ya wachezaji bacca alikua analipwa 1M aisee nusu nitapike, ndo wakaja kumpa mkataba mpya kipindi kile tumeenda kucheza Zanzibar sijajua ni wa kiasi gani, bacca ndo beki Bora Tanzania maslahi Yake yanapaswa kuwazidi karibu mabeki wote nchini, yanga msipuuzie hili, mpira ni kazi siku akiondoka kama kina fei walivyoenda tusibaki tunashikana uchawi
Ni hayo tu
Tujipange msimu ujao, ushauri wangu... Dirisha hili la usajili... Hatuna namna lazima tusajili beki wa katikati wa akiba, Yanga tumekua tukibweteka Sana na eneo hili kutokana na bahati ya kwamba Dickson job na Ibra Bacca wamekua wakicheza misimu Kwa misimu bila kupata majeraha, hili eneo inabidi tulitafakari maana tunaona mamnyeto umri unaanza kumtupa mkono, tujiuze tu iwapo mtu kama bacca apate majeraha ya muda katikati ya msimu(kwenye soka haya mambo yapo), je tuna backup ya maana kuendelea kucheza mechi zetu bila hofu?
Tusajili beki potential tu asie na makuu Sana kama backup sio beki ambae atakuja na lengo ya kuanza first 11 Moja Kwa Moja, bacca na job Bado wanatosha Kwa Sasa
Eneo la kiungo Sina Sana shida nalo, maana abuya anaweza kucover namba ya aucho
Pale Kwa Aziz K tunahitaji mbadala, winga pia lazima tupate mwingine mwenye uwezo wa kupunguza watu maana pacome wote tunajua historia yake ya majeraha.....
Kwenye mshambuliaji Bado sielewi, dube kama ana click anapotea nashindwa kumpa imani Moja Kwa Moja ila nahisi msimu ujao atabadilika
Swala la msingi kuliko lote, aisee bacca mpeni mkataba wa kueleweka, huyu jamaa angekua na wakala mjanja mjanja kama wa kibu d, angetutesa Sana aisee, bacca ni mchezaji na nusu hakikisheni mafao yake yanaendana na jasho lake uwanjani, Kuna kipindi miaka ya nyuma kipindi kile Bado mayele yupo nilisoma mikataba ya wachezaji bacca alikua analipwa 1M aisee nusu nitapike, ndo wakaja kumpa mkataba mpya kipindi kile tumeenda kucheza Zanzibar sijajua ni wa kiasi gani, bacca ndo beki Bora Tanzania maslahi Yake yanapaswa kuwazidi karibu mabeki wote nchini, yanga msipuuzie hili, mpira ni kazi siku akiondoka kama kina fei walivyoenda tusibaki tunashikana uchawi
Ni hayo tu