Single mothers wengi hufanya hivo kutokana pengine chanzo cha kuvunjika hayo mahusiano ni yeye. Kwa mwanamke anayejitambua hawezi kukubali kulala kwa kificho na mwanaume ambaye ni mzazi mwenzake. Pengine hajielewi na kwa kupunguza maumivu ya majuto anaona atumike tu ovyo na huyo mzazi mwenzake.
NB: Thamani yako ni wewe mwenyewe waifahamu
Single mothers wengi hufanya hivo kutokana pengine chanzo cha kuvunjika hayo mahusiano ni yeye. Kwa mwanamke anayejitambua hawezi kukubali kulala kwa kificho na mwanaume ambaye ni mzazi mwenzake. Pengine hajielewi na kwa kupunguza maumivu ya majuto anaona atumike tu ovyo na huyo mzazi mwenzake.
NB: Thamani yako ni wewe mwenyewe waifahamu
Ni kweli, kuna wanaofanya bila kujali lakini pia kuna wanafanya hivyo kutokana na stress, na kutaka kujifariji.
Na mwanaume akiona udhaifu tu anautumia.,
Sio single mothers tu, mwanamke yoyote kumvulia nguo mwanaume aliyekuacha kaenda kwa mwanamke mwingine ni ujinga, unafanya udharaulike, ifike kipindi mtu utambue mwili wako unathamani kubwa sana.