haha
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 1,400
- 1,640
Nawashauri hawa majaji wajaribu kuwa fair kidogo kwa hawa washiriki ,binafsi nachukizwa sana na kumkatisha mshirika tamaa wakati akiwa ameimba mstari mmoja tuu wa walochotaka kuimba
Kiukweli kwangu mm binafsi naona haipendez kabisa kwan mnatia watu uoga na kuwakatisha tamaa
Salama ,Madam Rita ,Ommy& Master jay !!! Try to be humble!! Otherwise mtaboa
Kiukweli kwangu mm binafsi naona haipendez kabisa kwan mnatia watu uoga na kuwakatisha tamaa
Salama ,Madam Rita ,Ommy& Master jay !!! Try to be humble!! Otherwise mtaboa