Ushauri wako wa mhimu

Ushauri wako wa mhimu

elishamani

Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
21
Reaction score
1
Kijana mmoja alikuwa na mpenzi wake ambaye walipendana sana Kijana alimpenda sana bint na bint alimpenda sana kijana siku zikazidi kwenda Kijana alimuhudumia mpenzi wake kwa kila hitaji alimtunza kama mke naye bint alijitoa kwa moyo wote kwa mpenzi wake katika mapenzi kukwazana hakukosekani hata wewe unakwazana na mpenzi wako Ila katika mazungumzo yao wakikwazana kijana wa kiume amekuwa akimtishia mpenzi wake kuwa atajiua amefanya hivyo siku ya kwanza bint akapotezea akafanya hivyo tena siku ya pili bint akapotezea siku ya tatu akafanya hivyo tena wakiwa wanaongea kwa cm na jamaa akawa yuko series kabisa kitu ambacho kilimuumiza sana bint akajeruhika sana sasa bint ameamua kuchukua uamuzi wa kuachana na jamaa jamaa nae anampenda sana bint na hayupo tayari kuachana nae Ila bint hamtaki tena sasa jamaa anaomba ushauri afanye nini ili kumrudisha mpenzi wake? Amembembereza sana ila bint hataki
 
Aende kwa mtabiri shehe Hussein yahaya atamrudisha mpenzie.foolishing age ni taabu tupu.
 
Kijana mmoja alikuwa na mpenzi wake ambaye walipendana sana Kijana alimpenda sana bint na bint alimpenda sana kijana siku zikazidi kwenda Kijana alimuhudumia mpenzi wake kwa kila hitaji alimtunza kama mke naye bint alijitoa kwa moyo wote kwa mpenzi wake katika mapenzi kukwazana hakukosekani hata wewe unakwazana na mpenzi wako Ila katika mazungumzo yao wakikwazana kijana wa kiume amekuwa akimtishia mpenzi wake kuwa atajiua amefanya hivyo siku ya kwanza bint akapotezea akafanya hivyo tena siku ya pili bint akapotezea siku ya tatu akafanya hivyo tena wakiwa wanaongea kwa cm na jamaa akawa yuko series kabisa kitu ambacho kilimuumiza sana bint akajeruhika sana sasa bint ameamua kuchukua uamuzi wa kuachana na jamaa jamaa nae anampenda sana bint na hayupo tayari kuachana nae Ila bint hamtaki tena sasa jamaa anaomba ushauri afanye nini ili kumrudisha mpenzi wake? Amembembereza sana ila bint hataki

Sisi hatutakuwa na la ziada kwenye mapenzi ya watu wengine, wakasuluishe kwa wazazi wao
 
Kijana mmoja alikuwa na mpenzi wake ambaye walipendana sana Kijana alimpenda sana bint na bint alimpenda sana kijana siku zikazidi kwenda Kijana alimuhudumia mpenzi wake kwa kila hitaji alimtunza kama mke naye bint alijitoa kwa moyo wote kwa mpenzi wake katika mapenzi kukwazana hakukosekani hata wewe unakwazana na mpenzi wako Ila katika mazungumzo yao wakikwazana kijana wa kiume amekuwa akimtishia mpenzi wake kuwa atajiua amefanya hivyo siku ya kwanza bint akapotezea akafanya hivyo tena siku ya pili bint akapotezea siku ya tatu akafanya hivyo tena wakiwa wanaongea kwa cm na jamaa akawa yuko series kabisa kitu ambacho kilimuumiza sana bint akajeruhika sana sasa bint ameamua kuchukua uamuzi wa kuachana na jamaa jamaa nae anampenda sana bint na hayupo tayari kuachana nae Ila bint hamtaki tena sasa jamaa anaomba ushauri afanye nini ili kumrudisha mpenzi wake? Amembembereza sana ila bint hataki


Akubali waachane tuu, baada ya miezi sita amfuate tena huyo binti atakubali.
 
Alikuwa anamtishia demu ila kwa dhamila yake hakuwa na kusudi la kujiua

Basi ajifunze kuishi kwa vitendo. Na kwamba kutishia kwake kumemnyima penzi. Pia mwambie (kama sio wewe) mapenzi katika umri mdogo ndio shida yake hiyo. Asubiri akikua atafute mke aoe.
 
Huyo mtoto wa kiume ajiue tu maana huko atakutana na warembo zaidi, amwache bidada aendelee na maisha na wanaume wanaojiamini na kujielewa mambo yakutafutiana kupamba stori za watu nani anataka, ajiue harakaaaaaa.
 
Kijana mmoja alikuwa na mpenzi wake ambaye walipendana sana Kijana alimpenda sana bint na bint alimpenda sana kijana siku zikazidi kwenda Kijana alimuhudumia mpenzi wake kwa kila hitaji alimtunza kama mke naye bint alijitoa kwa moyo wote kwa mpenzi wake katika mapenzi kukwazana hakukosekani hata wewe unakwazana na mpenzi wako Ila katika mazungumzo yao wakikwazana kijana wa kiume amekuwa akimtishia mpenzi wake kuwa atajiua amefanya hivyo siku ya kwanza bint akapotezea akafanya hivyo tena siku ya pili bint akapotezea siku ya tatu akafanya hivyo tena wakiwa wanaongea kwa cm na jamaa akawa yuko series kabisa kitu ambacho kilimuumiza sana bint akajeruhika sana sasa bint ameamua kuchukua uamuzi wa kuachana na jamaa jamaa nae anampenda sana bint na hayupo tayari kuachana nae Ila bint hamtaki tena sasa jamaa anaomba ushauri afanye nini ili kumrudisha mpenzi wake? Amembembereza sana ila bint hataki

Km dem ndo kaamua kumbwaga, jamaa akubali yaishe, akimbembeleza na dem akija kukubali siku likitibuka tena dem atakuwa anaringa na kusema mi nilikuwa sikutaki ww ndo uling'ang'ania. Ko kuepusha shar bora ambwage tu.
 
Km dem ndo kaamua kumbwaga, jamaa akubali yaishe, akimbembeleza na dem akija kukubali siku likitibuka tena dem atakuwa anaringa na kusema mi nilikuwa sikutaki ww ndo uling'ang'ania. Ko kuepusha shar bora ambwage tu.

Sawa mkuu
 
Akome na yeye,anatishia kujamba wakati anaharisha
 
Khaaaa! Mwanaume anatishia kujiua? Mwanaume hatarishi huyo hatakaa wa kumuepuka. Huyo dada aachane nae mazima.
 
Back
Top Bottom