Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,300
Tarehe 1 mwezi wa kumi natimiza miaka 25,tatizo langu hapa ni,kwa umri huo nmfanya mapenzi mara mbili tu,na hyo ilinitokea nlpo kua form 6 kama miaka 5 hvi imepita,dada moja wa kiarabu ndo aloniweka kwenye dunia ya mapenzi,kwa bahati mbya kama mnavojua waarabu wanawaozesha mabinti zao bila ridhaa,(wanawachagulia wachumba)sasa since hapo cjawai kua na mpenzi,em sure iam a bull a really bull,but uwa nakata tamaa pale nnapomtongoza msichana,utakuta anakudeley bila mpango then utakuta badae anajisogeza naonaga wanazngu2 so naachannaga nao, nlikua napiga punyeto zaman but nshaacha,bt uwanajiulizi do i have problems ama inakuaje.?