ni kweli wewe ni mburula wala sio tusi,unavojilazimisha kwake ptuuuuuuuuuuu
una moyo aisee
mtu anikute na meno yangu 32 aniite choko au tikiti mimi?
achana nae wewe kiazi ,dunia haipo hivo , maisha ni furaha mdada
utakufa siku si zako.kwanini upoteze furaha ya uhai wako kwa ajili ya mtu mmoja tena umemjua ukubwani? yeye ni nani? kimbia huko tikiti mkubwa wewe
Najua sio kosa lako, so kwanza nakupa pole.
Pili ushauri wangu kwako ni kuachana na huyo mtu kwa sababu kubwa moja tu, HAKUPENDI! Dalili za kutokukupenda ni hayo matusi na manyanyaso akupayo! Life is all about happiness, find hapiness kwa kuwa na mtu anaekupenda na wewe unampenda. ACHANA NAE, HE IS JUST WASTING YOUR TIME ALAAAA!!!!
Uko sahihi Smileni kweli wewe ni mburula wala sio tusi,unavojilazimisha kwake ptuuuuuuuuuuu
una moyo aisee
mtu anikute na meno yangu 32 aniite choko au tikiti mimi?
achana nae wewe kiazi ,dunia haipo hivo , maisha ni furaha mdada
utakufa siku si zako.kwanini upoteze furaha ya uhai wako kwa ajili ya mtu mmoja tena umemjua ukubwani? yeye ni nani? kimbia huko tikiti mkubwa wewe
nimekua ktk mahusianokwa miaka mi 5 ss...jamaa ashapropose siku nyng tu,na tukaanza taratbu za kufanikisha muunganiko wetu legally...jamaa ni muislam,mimi ni mkristo na wazaz wangu viongoz wa dini..niko tayar kumfata dini yake lakin wazaz wangu hawatak ata kuskia..na wameshaanza kutamka maneno mazito juu yangu...KINACHONIUMIZA NI HIKI..ana hasira mbya sn...na akikasirika ananiambia maneno ambayo hua yananiumiza..ananitukana matuc lyk mm choko,tikiti,kiazi,mbulula,mothr f**k n so many more,na majuzi kaanza kuniambia mm malaya..mara nyng jua tunagombana ananitishia kuniacha nina beg 4 4gvnes +kuwashrikisha marafiki zangu na zake mpaka tunarudiana tena..ss iko kitendo cha ku beg kua nae ss anakichukulia kama fimbo ya kuniumizia..maana majuzi alinitamkia '' this tym nakuacha na hata ukusanye kila kiumbe kuni beg sitakurudia''..inaniuma sn..kinachoniumiza zaid ni matusi,ananishusha thamani kwa matuc yake...ananiambia nimechange nimekua malaya n I swear to d almight God,,sijawah ata kukaribia kua na mahusiano na mwingne zaid yake yy + he is my 1st man....naombeni ushauri kwa hali hii nifanyeje?..nampenda sn lakin ndoa hii ata nikiifunga nitakua na furaha nae kweli?,,,am so confused...nisaidieni kimawazo:sad:
ni kweli wewe ni mburula wala sio tusi,unavojilazimisha kwake ptuuuuuuuuuuu
una moyo aisee
mtu anikute na meno yangu 32 aniite choko au tikiti mimi?
achana nae wewe kiazi ,dunia haipo hivo , maisha ni furaha mdada
utakufa siku si zako.kwanini upoteze furaha ya uhai wako kwa ajili ya mtu mmoja tena umemjua ukubwani? yeye ni nani? kimbia huko tikiti mkubwa wewe
ni kweli wewe ni mburula wala sio tusi,unavojilazimisha kwake ptuuuuuuuuuuu
una moyo aisee
mtu anikute na meno yangu 32 aniite choko au tikiti mimi?
achana nae wewe kiazi ,dunia haipo hivo , maisha ni furaha mdada
utakufa siku si zako.kwanini upoteze furaha ya uhai wako kwa ajili ya mtu mmoja tena umemjua ukubwani? yeye ni nani? kimbia huko tikiti mkubwa wewe
yaan dia ninateseka sn..kila nikisema nijaribu kumuacha hata kula nashindwa..