Ushauri wako ni muhimu katika hili

Ushauri wako ni muhimu katika hili

Huyo sio mwanaume ni bazazi tu, kishajua huyo ndio mjinga wake,
ampotezee kama ndege ya malaysia, asimletee nuksi bure
Bi dada atulizane atatokea tu roho ilo mtulia atamuhandle.
Aachane kabisa na hilo bazazi, linataka kumkondesha tu .
 
Hahahaa baada ya miezi 7 now ubusy umeisha ee!!! Kama shost yako bado anampenda kurudiana nae basi amwambie jamaa wakapime halafu amuoe kabisa maana isije ikawa jamaa kakumbuka papuchi so anataka tu kuja kuonja asepe coz wanaume wapogo hivyo,anajifanya kujirudi kumbe anataka kuonja tena ajiondokee
 
mwambie huyo shost amwambie huyo jamaa aende akajitambulishe nyumbani na afwate taratibu zote.....na asimpe mchezo mpaka ahakikishe wamefunga ndoa.......vinginevyo atamtumia afu atasepa tena......
 
Akirudi huko mwambie kinyeo chake. Ila asijaribu kufanya hivyo.
 
Akirudiana jamaa atakuwa na kiburi sana, so aachane naye
 
Ila wanaume jamani sometimes they are acting like small child wewe mtu imepita miezi 7 kimyaa halafu leo unaanza kumtext loh uliniacha kwa sababu zipi halafu unirudie kwa sababu mimi binafsi simshauri arudiane nae otherwise siwezi jua moyoni mwako coz am not speaking to your heart younglady!
 
Baadhi yetu tumezoeza kuwadhania watu dhana mbaya!! Kwa kweli rafikio ampe fursa (atleasti 2 ) Keshajirekebisha huyo shem!!
 
Although am a man but frankly speak... asirudiane nae kabsaaa maana what goes around comes around.... yan akikubali atajateswa siku za mbelen
 
Wanake N Viumbe Wenye Thaman Kubwa Sana Lakn Hilo Hawaltambui Kabisa Wamekuwa Wakteswa Na Mapenz Kila Kukicha Kwa Wao Kujishusha Thaman Kwa Wanaume So Em Kuwa Huru Kwanza Mwambie Akuache Kwa Mda Upumzke Il Nayeye Kama Yupo Criaz Atasubr Lakn Kama Alkuwa Anataka Kula Mzgo Tu Atasepa Kutafuta Mwengne Ndo Hayo Tu
 
Njoo PM huku unithaminishie huyo shosti wako, inawezekana kabisa nikamsaidia kumsahau huyo "pharaoh"


rafiki yangu ametulia sana even mm mwenyewe namkubali, na amini usiamini hakua mtu wa kuomba hela hovyo kwa huyo jamaa hata kidogo na ni mzuri tu ana sifa zote, ila ndo hivyo, kwakweli kumshauri warudiane siwezi ndugu yangu, labda aamue yeye kama yeye
 
sababu huwa ni moja tu dharau, na kumpima binti kwa kebehi na binti akijiroga tu kumkubali basi hapo kuna mengi, analiwa na kuachwa forever + kutangazwa nje, HIV + mImBa. nyie sio watu kabisa.
Vipi tena mbona unaongea kwa hasira? Unaonaje ikiwezekana umuulize huyo shemeji yako kwa nini alimpotezea rafiki yako?
 
Back
Top Bottom