Ushauri wako ni muhimu katika hili

Ushauri wako ni muhimu katika hili

Tamalisa

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
2,542
Reaction score
907
Habari zenu waheshimiwa.

Nina rafiki yangu alikua na mpenzi wake mwanaume walipendana japo siwezi kumuongelea sana huyo jamaa kama alimpenda huyu rafiki wa mimi kwa kiasi gani. Ila ke alimpenda sana huyu jamaa na hakuamini kama yupo zaidi ya huyo mwanaume.

Haya sasa mapenzi yakaendelea, mwanaume akaanza kubadilika gafla sababu nini hasomeki, ikafika mahala mwanamke anampigia simu jamaa hapokei akipokea anaongea kama hataki, au anasema short and clear nipo bize, binti asipopiga simu basi ujue hiyo imetoka.

Mwanamke akajitahidi kuvumilia, japo inamuuma na alikonda sana ndugu zangu,vituko vya muda mrefu vikaendelea, ikafika mahala akaanza kuchoka, zinapita siku nikamwambia rafiki achana nae japo inauma.

Basi rafiki angu kashaurika, na akaanza kusahau taratibu imepitaa takribani 7 month now yule jamaa asiludi tena na kujifanya anatuma massege wiki iliyopita, eti anapiga simu jamani, mpenzi mbona umenitupa hivyo,eti vipi shemeji mzima mbona huji kunitumbelea siku hizi,na maneno mengine kibao.

Shosti kamwambia nitakuja kukutembele asante na usiku mwema kakataa, kesho ikapita binti kimya cku nzima , jamaa kaenda tena hewani,mi nikamwambia shosti yangu achana nae huyo shauri yako.

Nashukuru kanielewa,ila sasa mwanaume bado anasumbua, rafiki yangu anahitaji ushauri ili asijekuwa nae tena. nimemwabia huyo alikutana na wasichana wajanja kaona wanamfirisi ndio kaamua kurudi kwako,ataakuumiza tena achana nao.

Wakuu mnaushauri gani zaidi ili nipate kumshauri vema zaidi.

Asante sana.
 
asikubali kurudiana nae jamaa kamweka kiraka .. huko alippokuwa wamemla kichwa safi sana
 
Mimi naona kama huyo dada bado anampenda huyo kka wakae wazungumze waelewane waendelee kuixhi na naic huyo mwanaume atakua amexhaona umuhim wa huyo dada ndio maana kaamua kumrudia nadhan atakua amexhajirekebixha cunajua cc wanaume 2natawaliwa na tamaa xana?

Kuliko wanawake wanawake wanaupendo wa kweli xana.
 
nipatie namba ya shoga ako
 
mm naona kama huyo dada bado anampenda huyo kka wakae wazungumze waelewane waendelee kuixhi na naic huyo mwanaume atakua amexhaona umuhim wa huyo dada ndio maana kaamua kumrudia nadhan atakua amexhajirekebixha cunajua cc wanaume 2natawaliwa na tamaa xana?

kuliko wanawake wanawake wanaupendo wa kweli xana

rafiki yangu ametulia sana even mm mwenyewe namkubali, na amini usiamini hakua mtu wa kuomba hela hovyo kwa huyo jamaa hata kidogo na ni mzuri tu ana sifa zote, ila ndo hivyo, kwakweli kumshauri warudiane siwezi ndugu yangu, labda aamue yeye kama yeye
 
kuna sababu nyingi za mtu kumrudia mtu zaidi ya kuliwa kichwa alipoenda.

sababu huwa ni moja tu dharau, na kumpima binti kwa kebehi na binti akijiroga tu kumkubali basi hapo kuna mengi, analiwa na kuachwa forever + kutangazwa nje, HIV + mImBa. nyie sio watu kabisa.
 
thanks

nb hizi ni kama code tunavunja watu wachache tu

poa hebu lete ushauri basi, very serious today nikitoka job naenda kumcheki coz jana kanambia anahitaji kuongea nami
 
Back
Top Bottom