Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Tupo pamoja sana petriinamwanaBado zitto hajitambui sitamwamini tena zitto
Tupo pamoja sana petriinamwanaBado zitto hajitambui sitamwamini tena zitto
Hakuna jipya hapo ni muendelezo wa kutetea tamaa ya fisi iliyo jaa ndani ya mioyo ya zzk na mrema na cheyoSoma mada uielewe.....
Naona unamtafuta cha undani fayza foxy na THE BIG SHOWZito wakati wa JK alitulia, mbona sasa Ana maneno mengi. Zito ni mdini
Hafai kabisa huyo anajifanya kondoo pale anapozidiwa lkn akifanikiwa anageuka kuwa chui mwenye njaaAlikuwa anatumika kuua Chadema.
Hakuna cha hoja hapo huo ndio ukweliJadili hoja
Ndugu yenu huyuHuyu ni mtu mnafiki balaa