Mkuu kama hujaipata bado nicheki DMHabari wakuu,
Naomba ushauri Wa Mark 11 grande GX 110 wanja yenye engine ya 1G beams 2000 ulaji wa mafuta na pia kama mtu anayo ya 2004 namba D iliyo nyooka tuwasiliane
BeiMkuu kama hujaipata bado nicheki DM
9.5m negotiable
Hizo rim zake zinapatikana wapi kiongoziMachine hii hapa, leteni hela.View attachment 2868502
Kwanini imeitwa wanjaMark 11 grande GX 110 wanja
Cheki kwa jamaa wanaouza rims used, au nenda pale kwenye ofisi za Beforward unaweza agiza used toka Japan.Hizo rim zake zinapatikana wapi kiongozi
Asante sana kiongoziCheki kwa jamaa wanaouza rims used, au nenda pale kwenye ofisi za Beforward unaweza agiza used toka Japan.
Maana hizi wanazouza kama mpya za Kichina nyingi hazina viwango, ukigonga hata jiwe tu zinapinda.Asante sana kiongozi
Ni kweli nimeingia hasara sana na hizo za kichinaMaana hizi wanazouza kama mpya za Kichina nyingi hazina viwango, ukigonga hata jiwe tu zinapinda.
Yes, nyingi ni za hovyo sanaa. Next time ukitaka rims za ukweli usiwe na haraka, kama huna budget ya kuagiza basi tembelea wale jamaa wanaouza spare used haswa kule shaurimoyo wale wanaokatakata magari, huwa wanakuwa na used ambazo ni OG zimevuliwa toka kwenye magari mengine au pia wao wanaleta toka Dubai.Ni kweli nimeingia hasara sana na hizo za kichina
Asante sana Mkuu baraka kwakoYes, nyingi ni za hovyo sanaa. Next time ukitaka rims za ukweli usiwe na haraka, kama huna budget ya kuagiza basi tembelea wale jamaa wanaouza spare used haswa kule shaurimoyo wale wanaokatakata magari, huwa wanakuwa na used ambazo ni OG zimevuliwa toka kwenye magari mengine au pia wao wanaleta toka Dubai.
Naskia hizi gari za mark ii ni six inline cylinder vp matumizi ya mafuta kwa litre moja kwa uzoefu wako?Machine hii hapa, leteni hela.View attachment 2868502
Nyingi ikiwa iko vizuri ni 8km/ L haswa kwa za Engine ya 1G nyingine sina uzoefu nazo.. Ulajinwake wa mafuta siyo kihivyo. Usisikilize maneno ya vijiweni ya watu ambao hawajawahi hata kumiliki baiskeli.Naskia hizi gari za mark ii ni six inline cylinder vp matumizi ya mafuta kwa litre moja kwa uzoefu wako?
Hivi zipo ambazo ni 4cylinder?Nyingi ikiwa iko vizuri ni 8km/ L haswa kwa za Engine ya 1G nyingine sina uzoefu nazo.. Ulajinwake wa mafuta siyo kihivyo. Usisikilize maneno ya vijiweni ya watu ambao hawajawahi hata kumiliki baiskeli.
Yes kuna model ya zamani ya Mark II zipo, saivi kuzipata ni adimu sana na wengi wenye zilizonyooka hawaziuzi bado wanazitumiaHivi zipo ambazo ni 4cylinder?
Kama siyo mtu wa mizunguko, tafuta moja hata kama ni 6 iwe Engine Code ya 1G na CC zisizidi 2000. Ni gari nzuri sana kwa matumizi ya nyumbani na ngumu sanaaHivi zipo ambazo ni 4cylinder?
Hii inategemea na condition ya gari, barabara, traffic, air conditioning, load, etc.1lt to 10 km