Laura Mkaju
Senior Member
- Jan 31, 2011
- 194
- 40
Wapendwa wana JF naomba msaada/ushauri wa kujiendeleza na masomo kwa ngazi ya juu, kwa maana ya kwamba nimesoma Diploma ya Business Admn na kupata daraja la PASS hivyo naomba ushauri kwenu nifanye ili niweze kuendelea mbele zaidi kimasomo kutokana na ufaulu huo mdogo. Wana Great Thnkers ushauri mtakaonipa nitaufanyia kazi.