Tatizo lako ni kutokuwa na elimu sahihi juu ya jinsia ya kike na maana ya ndoa.ukisha funga ndoa hiyo nakushauri wewe na huyo mtarajiwa wako muanze kwa pamoja mafunzo hayo. tahadhari; hayapatikani kanisani au msikitini pekee!!!!
Tatizo lako ni kutokuwa na elimu sahihi juu ya jinsia ya kike na maana ya ndoa.ukisha funga ndoa hiyo nakushauri wewe na huyo mtarajiwa wako muanze kwa pamoja mafunzo hayo. tahadhari; hayapatikani kanisani au msikitini pekee!!!!
Sanaa sio mchezo aisee Parefu ila kwa maisha ya siku hizi sio Parefu sana mana maisha yamepanda sana ila nimeumizwa na uongo wake halafu mbaya zaidi hadi leo zaidi ya mwezi anaomba msamaha lakini sababu ya kosa hasemi ndio shida hapo