Ushauri wa bure kwa Yanga

Ushauri wa bure kwa Yanga

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,252
Reaction score
16,171
Jaja na Coutinho wacheze mechi nyingi za nyumbani ili kuwafanya wacheze kwenye viwango vyao kwa muda mrefu wa ligi. Mikoani watakamiwa na kuumizwa na viwanya vibovu vya mikoani vitasababisha wacheze chini ya viwango vyao
 
kisheria ni kugomea viwanja vibovu hivi vilabu vikubwa viite caf au fifa kukagua hivyo viwanja vya kuchezea fiesta sio waende tff wakipewa bia mbili wanapitisha
 
kisheria ni kugomea viwanja vibovu hivi vilabu vikubwa viite caf au fifa kukagua hivyo viwanja vya kuchezea fiesta sio waende tff wakipewa bia mbili wanapitisha
Kwa mtaji huo si ligi nzima itachezewa Uwanja wa Taifa tu?
 
Ukizungumzia suala la uwanja labda wachezaji wa AZAM ndio watapata tabu zaid Simba na Yanga wanafanya mazoez ktk viwanja vibovu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom