jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,013
Utangulizi:
Kinachoendelea Burundi ni chokochoko za kudestabilize nchi iingie kwenye machafuko especially genocide. Waasi wanaua raia hovyo hovyo kwa jina la upinzani. wananchi ambao wanamuunga mkono Nkurunzinza ambao ndio wengi wanachokozwa ili walipe kisasi kwa raia wenzao wachache ambao wanaunga mkono upinzani. Situation kama hii ni ngumu kwa serikali yoyote ile ikiwamo ya Nkurunzinza. Jeshi au polisi haliwezi kuwapata waasi hawa kwa kuwa wanafanya mashambulizi ya kigaidi na kupotea. Kwa upande mwingine huwezi kuzuia raia ambao watalipiza kisasi kutokana na mashambulizi yanayolenga jamii yao. Kwa vyovyote vile mauaji ya visasi yatakuwa ni responsibility ya serikali. Serikali italaumiwa kwa kushindwa kudhibiti waasi na vile vile kwa kushindwa kudhibiti raia wanaoua raia wenzao.
Nini cha kufanya:
Cha kufanya haraka sana ni kushirikiana na jumuiya ya kimataifa. Waswahili husema mchawi mpe mtoto amlee. Haraka sana Nkurunzinza anatakiwa kualika majeshi ya UN ya kulinda amani lakini yenye mandate ya kupokonya silaha na kufanya mashambulizi kama ile tuliyokuwa nayo Tanzania dhidi ya M23. Kwa kufanya hivyo jumuiya ya kimataifa itakuwa ndiyo yenye mzigo wa kupambana na waasi hawa. Na mara moja watagundua nani yuko nyuma ya waasi hawa. Ni kama vile tulivyokuwa tunaulizana nani ni M23 lakini baada ya UN kuingia, ikatolewa ripoti iliyoweka bayana nani ni nani. The same needs to be done in Burundi.
Hili inabidi lifanyike haraka while Nkurunzinza still has legal legitimacy as president. Siku zinavyokwenda kuna uwezekano image yake ikawa so tarnished kiasi kwamba jumuiya ya kimataifa imtenge kama rais, na kuweka sharti kwamba ili walete jeshi inabidi yeye akae pembeni. Hivyo waasi watakuwa wameshinda lengo lao.
Solution rahisi ni ku engage international community, waasi/wapinzani waitwe, wahojiwe ninyi ni nani na mnataka nini? Since hawana hoja yoyote ya kisheria na bado wanalenga raia wasio na hatia, the entire world will be against them na hivyo Nkurunziza atakuwa exonerated. Vinginevyo Nkurunzinza akiendelea kushughulikia suala hili peke yake ataishia kule kule kwa Habyarimana ambaye alipendelea mazungumzo badala ya vita hata kusaini mkataba wa amani, lakini leo hii waasi waliofanya mauaji ya raia wasio na hatia kwa miaka minne na mwisho kumtungua kwa kombora, wanasema yeye ndie genocidaire!
Kinachoendelea Burundi ni chokochoko za kudestabilize nchi iingie kwenye machafuko especially genocide. Waasi wanaua raia hovyo hovyo kwa jina la upinzani. wananchi ambao wanamuunga mkono Nkurunzinza ambao ndio wengi wanachokozwa ili walipe kisasi kwa raia wenzao wachache ambao wanaunga mkono upinzani. Situation kama hii ni ngumu kwa serikali yoyote ile ikiwamo ya Nkurunzinza. Jeshi au polisi haliwezi kuwapata waasi hawa kwa kuwa wanafanya mashambulizi ya kigaidi na kupotea. Kwa upande mwingine huwezi kuzuia raia ambao watalipiza kisasi kutokana na mashambulizi yanayolenga jamii yao. Kwa vyovyote vile mauaji ya visasi yatakuwa ni responsibility ya serikali. Serikali italaumiwa kwa kushindwa kudhibiti waasi na vile vile kwa kushindwa kudhibiti raia wanaoua raia wenzao.
Nini cha kufanya:
Cha kufanya haraka sana ni kushirikiana na jumuiya ya kimataifa. Waswahili husema mchawi mpe mtoto amlee. Haraka sana Nkurunzinza anatakiwa kualika majeshi ya UN ya kulinda amani lakini yenye mandate ya kupokonya silaha na kufanya mashambulizi kama ile tuliyokuwa nayo Tanzania dhidi ya M23. Kwa kufanya hivyo jumuiya ya kimataifa itakuwa ndiyo yenye mzigo wa kupambana na waasi hawa. Na mara moja watagundua nani yuko nyuma ya waasi hawa. Ni kama vile tulivyokuwa tunaulizana nani ni M23 lakini baada ya UN kuingia, ikatolewa ripoti iliyoweka bayana nani ni nani. The same needs to be done in Burundi.
Hili inabidi lifanyike haraka while Nkurunzinza still has legal legitimacy as president. Siku zinavyokwenda kuna uwezekano image yake ikawa so tarnished kiasi kwamba jumuiya ya kimataifa imtenge kama rais, na kuweka sharti kwamba ili walete jeshi inabidi yeye akae pembeni. Hivyo waasi watakuwa wameshinda lengo lao.
Solution rahisi ni ku engage international community, waasi/wapinzani waitwe, wahojiwe ninyi ni nani na mnataka nini? Since hawana hoja yoyote ya kisheria na bado wanalenga raia wasio na hatia, the entire world will be against them na hivyo Nkurunziza atakuwa exonerated. Vinginevyo Nkurunzinza akiendelea kushughulikia suala hili peke yake ataishia kule kule kwa Habyarimana ambaye alipendelea mazungumzo badala ya vita hata kusaini mkataba wa amani, lakini leo hii waasi waliofanya mauaji ya raia wasio na hatia kwa miaka minne na mwisho kumtungua kwa kombora, wanasema yeye ndie genocidaire!