Nimeona nitumie nafasi hii kumshauri kidogo mdogo wangu Nape. Nasema mdogo wangu si kwa maana ya madaraka bali umri kati yangu na yeye. ukimfanyia analysis Nape, kweli unaweza kugundua kwamba ni mwanasiasa mwenye kipawa(charisma) cha kufanya siasa. Na kweli kwa maana ya uenezi, ccm walikuwa wameramba dume maana ana kipawa cha kuongea na hivyo kufanya publicity sawasawa. kuna mambo machache ambayo naona nape anapungukiwa.
1) Nape anapungikiwa heshima. kwa wale wanaomsikiliza nape mara kadhaa wanaweza kukubaliana nami kwamba huyu bwana hasa anapokuwa ana jibu mapigo fulani yaliyoelekezwa kwake au chama chake, hugeuka mbogo na mara nyingi hufikia hatua ya kutukana hata watu ambao kibinadamu waliopaswa kuwa confronted sawa lakjni basi kwa hekima. Nape akianza kumsema dr. slaa utadhani ni mtu wa umri wake au mtu fulani hopeless hivi. kijamii haipendezi kabisa kuongea au kumtukana mtu anayekuzidi umri na hata binadamu mwenzako regardless ya umri ,madaraka , chama, cheo nk.
Najua nia yake ya kufanya hivyo inaweza kuwa kwa maana ya kufanya kinachoitwa kujenga chama chake, lakini akumbuke hao hao anaodhani anawajenga kuna siku watamuita mkosa adabu siku atakapowapinga, let it be kutafuta uongozi ndani ya chama au vyovyote. kumbuka wanaokushangilia na kukuita mfalme leo, kesho watakupiga mawe. jitahidi kuwa na mahusiano ambayo ni cross cutting kwa maana ya kuheshimu watu kwa utu na ubinadamu wao. Nani ajuaye? mtumwa wa leo anaweza kuwa mtawala kesho. kama ulimheshimu, kumbuka natumia kumheshimu na siyo kutomkosoa, atakuheshimu pia.
2) lingine ninalomshauri nape ni kupunguza kujiamini kuliko pitiliza. Kuna upande napendezwa na ujasiri wake but he is many times over confident. nimesema many times kwa sababu kweli mara chache sana nape huongea politely. Na kwa kujua hilo ebu ona wakati katibu mkuu wa ccm anapohutubia na awepo nape pia. unaweza dhani Nape ndiyo senior kwa katibu mkuu. yeye lazima atishe, na kutoa matamko makali makali dhidi ya wapinzani wao, kana kwamba yeye pale ndo final authority. Ni sawa inawezekana kuongea kwa mamlaka ndilo personality yake kulinganisha na personality ya kinana ambaye ni mpole kitabia, lakini akumbuke kuna siku wakubwa watamwambia hawakumtuma aseme hivyo.
Na namshauri tu kwamba siyo afya kiprotokali kuonekana wewe ndo mtoa matamko ya kimamlaka wakati kuna anayekuzidi cheo, vinginevyo niamini tu kwamba huwa anaambiwa na mamlaka aseme hivyo. lakini hata kama ni hivyo naye ajifunze kuchanganya na zake ili asionekane yeye ndo yeye, maana mwisho wa siku kama nilivyosema watu watamrudi yeye.
Najua anaweza kujiamini hivyo kwa sababu ana back up ya watawala na majeshi, lakini akumbuke madaraka yanaharibu na ni hatari. ktk uongozi moja ya mambo unayopaswa kujua kuhandle ni madaraka au nguvu. usipojua, hayo madaraka yatakuharibu wewe. (Absolute power corrupts absolutely). Nilishangazwa sana nilipomsikia Nape kwenye kampeni za chalinze. kweli jinsi alivyotamka kwamba ccm itajibu mapigo kama watachokozwa kweli unaweza ona ujasiri uliopitiliza.
Hivi mimi huwa najiuliza, vipi kama wengine nao wakianza kuona hawana pa kwenda kupata msaada na waamue kujibu? kwa viongozi wanaotawala sasa, zNape akiwemo siyo mfano mzuri kutamba hivyo. vinginevyo ni kuwafanya wengine waone hawana mtetezi na wajenge kiburi na kujilinda. other wise, namyakia Nape siasa njema. Ana kipawa na uwezo na matumaini mbeleni kama atakuwa disciple wa mawazo yangu machache hapo juu.
1) Nape anapungikiwa heshima. kwa wale wanaomsikiliza nape mara kadhaa wanaweza kukubaliana nami kwamba huyu bwana hasa anapokuwa ana jibu mapigo fulani yaliyoelekezwa kwake au chama chake, hugeuka mbogo na mara nyingi hufikia hatua ya kutukana hata watu ambao kibinadamu waliopaswa kuwa confronted sawa lakjni basi kwa hekima. Nape akianza kumsema dr. slaa utadhani ni mtu wa umri wake au mtu fulani hopeless hivi. kijamii haipendezi kabisa kuongea au kumtukana mtu anayekuzidi umri na hata binadamu mwenzako regardless ya umri ,madaraka , chama, cheo nk.
Najua nia yake ya kufanya hivyo inaweza kuwa kwa maana ya kufanya kinachoitwa kujenga chama chake, lakini akumbuke hao hao anaodhani anawajenga kuna siku watamuita mkosa adabu siku atakapowapinga, let it be kutafuta uongozi ndani ya chama au vyovyote. kumbuka wanaokushangilia na kukuita mfalme leo, kesho watakupiga mawe. jitahidi kuwa na mahusiano ambayo ni cross cutting kwa maana ya kuheshimu watu kwa utu na ubinadamu wao. Nani ajuaye? mtumwa wa leo anaweza kuwa mtawala kesho. kama ulimheshimu, kumbuka natumia kumheshimu na siyo kutomkosoa, atakuheshimu pia.
2) lingine ninalomshauri nape ni kupunguza kujiamini kuliko pitiliza. Kuna upande napendezwa na ujasiri wake but he is many times over confident. nimesema many times kwa sababu kweli mara chache sana nape huongea politely. Na kwa kujua hilo ebu ona wakati katibu mkuu wa ccm anapohutubia na awepo nape pia. unaweza dhani Nape ndiyo senior kwa katibu mkuu. yeye lazima atishe, na kutoa matamko makali makali dhidi ya wapinzani wao, kana kwamba yeye pale ndo final authority. Ni sawa inawezekana kuongea kwa mamlaka ndilo personality yake kulinganisha na personality ya kinana ambaye ni mpole kitabia, lakini akumbuke kuna siku wakubwa watamwambia hawakumtuma aseme hivyo.
Na namshauri tu kwamba siyo afya kiprotokali kuonekana wewe ndo mtoa matamko ya kimamlaka wakati kuna anayekuzidi cheo, vinginevyo niamini tu kwamba huwa anaambiwa na mamlaka aseme hivyo. lakini hata kama ni hivyo naye ajifunze kuchanganya na zake ili asionekane yeye ndo yeye, maana mwisho wa siku kama nilivyosema watu watamrudi yeye.
Najua anaweza kujiamini hivyo kwa sababu ana back up ya watawala na majeshi, lakini akumbuke madaraka yanaharibu na ni hatari. ktk uongozi moja ya mambo unayopaswa kujua kuhandle ni madaraka au nguvu. usipojua, hayo madaraka yatakuharibu wewe. (Absolute power corrupts absolutely). Nilishangazwa sana nilipomsikia Nape kwenye kampeni za chalinze. kweli jinsi alivyotamka kwamba ccm itajibu mapigo kama watachokozwa kweli unaweza ona ujasiri uliopitiliza.
Hivi mimi huwa najiuliza, vipi kama wengine nao wakianza kuona hawana pa kwenda kupata msaada na waamue kujibu? kwa viongozi wanaotawala sasa, zNape akiwemo siyo mfano mzuri kutamba hivyo. vinginevyo ni kuwafanya wengine waone hawana mtetezi na wajenge kiburi na kujilinda. other wise, namyakia Nape siasa njema. Ana kipawa na uwezo na matumaini mbeleni kama atakuwa disciple wa mawazo yangu machache hapo juu.