Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Huyu Mzee namkubali sana katika kuongea ukweli isipokuwa upinzani huo unatakiwa aufanye akiiwa nje ya chama chake vinginevyo atakuwa anatwanga maji kwenye kinu
Namshauli atoke nje ya chama chake (samahani sijasema aende chama gani)ili aweze kuleta upinzani wa kweli
Wana JF mna maoni gani juu ya ushauli huu???????
Namshauli atoke nje ya chama chake (samahani sijasema aende chama gani)ili aweze kuleta upinzani wa kweli
Wana JF mna maoni gani juu ya ushauli huu???????