kaka nakubaliana nawe mambo mengi sana na machache tunayotofautiana hayatowi zana kamili ya ushindi wa ccm 2015.na mwisho swali langu kwa hivi vyama vya upinzani,ni kweli vinalengo la kumsaidia Mtanzania au kunajambo zaidi ya hapo. Kwani lengo kama ni jema mbona njia hazionyeshi amani umoja na mshikamano,mbona lugha zinazotumika hazionyeshi ukomavu wa siasa.CCM inanafasi tena kubwa tu na si muda haya maneno yatatimia.