Ushauri unahitajika

Ushauri unahitajika

imbegete

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,299
Reaction score
994
Wana Jamii wa JF, ni hivi nina kijana wangu alimaliza form IV 2014, na haya ndio matokeo yake:- CIVICS E; HISTORY E; GEOGRAPHY D; KISWAHILI D; BIOLOGY E; B. MATHS F; COMMERCE F; BOOK KEEPINNG F. Akaenda kuchukuwa Certificate ya IT ambayo amefanya vizuri sana. Sasa anataka kuendelea na Diploma ya IT lakini kwa vile ana D tatu tu bafala ya nne hawezi kufanya Diploma. Nimsaidieje ili mwishowe aweze kuchukuwa hiyo Diploma ya IT. Mawazo ya msaada wenu yanakaribishwa.
 
dah!!!sas IT kaisomaje wakat masomo ya yahusianayo na it amefeli eg,maths
ushauri:mwambiee arudie kusomaa hyo fom four aacha upuuzii atafanikiwa tyuuu
 
Back
Top Bottom