ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,913
- 2,967
Hapo mtihani ,kwani hujawahi kuchepuka na akajua na akakusamehe maisha yakaendelea ? Kama alishagawahi kukusamehe basi kaa chini mwambie katika pitapita zangu nilijikuta napata mtoto kwahiyo mke wangu namleta hapa. Siyo uombe mwambie unamleta , akileta zakuletwa mwambie achague kuondoka au kubaki alafu hapo ishi kigaidi mbona atakubali mwenyewe .