Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 793
Ni ukweli ulio wazi kwamba TAIFA halijajianda kumpokea, mtoto aliyekufa au Alitekwa msukule a.k.a Tanganyika na sasa anategemewa kurudi au kuzaliwa Kwa Mara ya pili. Ni busara tukajadili ibara zone nzuri ila pia kuu maintain status quo. Tukiendelea kujadiliana tukae vipi for the next 5 years.