Mimi huwa nachoka nao pale inapokuja gharama za kuboresha daftari la wapiga kura hizo billions huwa ni za nini, kwa kweli sijui kabisa yaani kuajiri makarani na kufanya data capture tufike mabilioni ya fedha wakati mitandao ya simu wanasajiri watu kila siku kirahisi tu
Hilo ni wazo zuri sana lakini cyo kwa serikali ye2 hii inayotanguliza maslai yao mbele kwanza.. Labda hili janga lingeanza kuwatafuna vigogo kwanza ndiyo wangechukulia maanan wazo kama hilo la msing
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.