Una mapepo kaombewe
Nawapenda marafiki zang sana ila huyu jamaa nahis ana bahat mbaya namimUtajiri wa kwanza ni kuwa na marafiki
By Nick wa pili.
Baba aliniusia,
"Mwanangu usigombane wala kukosana na rafiki yako kisa mwanamke ".
Sasa wewe unachotafuta, utakipata.