OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,716
Huu ni shauri wa bure kabisa. Sio sheria,hutaki unaacha
Nimefuatilia ghazabu za mashabiki lialia wa Simba dhidi ya Shaffi Dauda na kuona tunakoelekea sio kuzuri.
Shaffi ameonekana kuwaudhi zaidi mashabiki baada ya kutumia vibaya Clouds kutukana mashabiki na kuivunja moyo timu ya Simba.
Katika hali inayoendelea naona kila dalili huyu bwana kupewa vitasa na mashabiki. Ipo siku atachezea kichapo tu.
Namshauri achukue tahadhali hii.