MJITA HALISI 176
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 537
- 146
Bila kujali utofauti wa vyama Kama sheria inaruhusu basi nakuomba rais wetu wa Jamuhuya ya Tanzania umteue Mh tajwa hapo juu awe mwanasheria mkuu wa serikali yako.
Hii ni kutokana na uwezo wake alioudhihirisha katika mjadala wa Escrow uliojitakeza katika bunge lako tukufu LA kufunga mwaka-November 2014, hapa kila MTU aliona uwezo wa lisu katika kudadavua masuala ya kisheria.
Natoa HOJA.
Hii ni kutokana na uwezo wake alioudhihirisha katika mjadala wa Escrow uliojitakeza katika bunge lako tukufu LA kufunga mwaka-November 2014, hapa kila MTU aliona uwezo wa lisu katika kudadavua masuala ya kisheria.
Natoa HOJA.