USHAURI: Rais Magufuli kwa sasa wekeza kwenye kilimo achana na ndege & reli ni Ufisadi mtupu

Vugu-Vugu

JF-Expert Member
Feb 24, 2017
1,106
1,265
Kiongozi makini mara zote huzitazama fursa kama mtaji wa uhalali wake kama kiongozi.
Siku zote hufanya utafiti wa kina kabla ya kuamua jambo lolote analotaka kulifanya,
Nikupongeza Raisi wangu Dk John Joseph Pombe Magufuli kwa uthubutu wako wa-
kiwango cha juu kabisa achilia mbali ule wa MwL JK Nyerere uliomsaidia kupata uhuru
wa Tanganyika toka kwa Waingereza. Your running well but out of the ground.
Hapa nakumbuka maneno ya baba wa Taifa –Kiongozi bora awe na uwezo wa kugundua amekosea asahihishe-MwL JK Nyerere.
Hivi Mh Raisi alishajaribu kupitia takwimu ili kufahamu walau kati ya watu zaidi mil 52 waishio Tanzania Wangapi ni wakulima?Wangapi ni Wafanyakazi,Wangapi hawana kazi yeyote rasmi kama mimi,Walipa kodi ni wangapi? Leo naomba niongelee kundi moja tu la wakulima wenzangu.
Unapelekaje Tzs Trioni 2.24 kwenye kilimo sector yenye watu zaidi ya mil 35. Pamoja na bajeti hiyo ndogo bado Wizara ya Kilimo na Mifugo inapokea Tzs 1.7 trioni are we serious kweli kama serikali.
Hivi unaachaje sector ya kilimo yenye ajira zaidi ya mil 35 inayochangia asilia 32.4% ya pato la Taifa (GDP ) sawa na Tsh Trion 6.6 kwa kila mwaka, hizi hutokana na kilimo chenye bajeti ya Tr 1.7 Hebu fikiri kama tutawekeza hata nusu ya pato lake yaani Trioni 3.3. Tukanunua Matrecta,Plau,Pump za kumwagilia etc, Naamini Tutashangaza Dunia.
Hebu fikirini toka mazao ya biashara pekee Kilimo kinaliingizia Taifa zaidi ya US$ 1bn kil
mwaka. Kuna zaidi ya hekta mil 44 zinafaa kwa kilimo huku 33% sawa na hekta mil 14.52 pekee ndio zimetumika mpaka sasa kwa kilimo. Hivi mnajua kilimo ndio kila kitu Watanzania.



MAAJABU YA RELI PANA (standard gauge)


Napaata tabu kuelewa haya, japo watanzania wengi akili zetu zimejengwa kutumikia siasa zaidi kuliko Tanzania, Huwa nashangaa mtu anasapoti jambo hata kama ni la hovyo kiasi gani na halina maslahi kabisa kwa Taifa litapewa kiki kisa ni aliyetoa ni wa jamii yake/chama chake shame on us.
Itakumbukwa inchi kama South Africa pamoja na kuwa inchi ya kwanza Africa kwa Maendeleo yaani (Second World Country-Africa) lakini hawakufikia hapo kwa kuwa na ndege wala SGR .
Itakumbukwa FY 2013/2014, Shrika la reli SA liitwalo Passenger Rail Agency of SA (Prasa ) kwa mara ya kwanza ndio walitenga kiasi cha US$ 110bn sawa na Rand 1.5trion kwenye km 20,000 sawa US$0.0055bn/km yenye spidi ya 180-400km/h kwa kuwashirikisha Msumbiji na Botswana kwa kutumia umoja wao wa State Transport Company Transnet (SOC LTD) kuanza ujenzi wa network- Rail systm hiyo, lakini hii ni baada ya kuimarisha sana microsectors ikiwemo Kilimo na biashara.
Kwamujibu wa Gazeti la the The East African Waturuki /Wareno wanadai wameshinda tenda ya kutengeneza km 205 kwa US$ 1.215bn huku Prof Makame Mbarawa anasema ni US$187/300km.Hizo km 95 mkandarasi ni nani?
Hebu tujiulize ni kweli MORO-DAR ni km 300? Eti Mkurugenzi wa RAHCO anasema km 95 ni divergence na Stations yawezekanaje divergency railway ikawa ni nusu ya Mainrailway?
Jaribuni kufanya utafiti.Nijuavyo mimi Dar Moro ni km 190 pekee hizo km 15 ni za nani? AU ndio Sababu RAHCO-Reli asset Holding company wanatamani tubadili katiba ili Mh Dk Magufuli aendelee kutawala kwa ajili ya dili hizi? Hata hivyo kwanini Tanzania tulipe US$ 0.0059bn/km kwa reli yenye
Speed ya 160km/h juu kidogo ya wenzetu South Africa wenye SGR ya 400/km/h hapa hata mimi ningeombea Dk Magufuli atawale milele ile nipige dili lote kwenye km 2,561, Watanzania tuacheni ubinafsi.
Kwa mfano wenzetu wa Ethiopia walijenga SGR kutoka Ethiopia-Djibout km 750 kwa US$ 3.4 bn sawa na US$ 0.0045bn/km kwanini Tanzania km 215/1.215bn sawa na US$0.0059 bn/km. yaani kwa Mradi huo wa km 300 tutapoteza US$ 0.42bn kama tutafanya kwa km zote 2,561 tutapoza US$ 3.59bn hapa lazima watu waombee Rais Dk Magufuli atawale milele.
Maswali yangu kwa waziri mwenye dhamana Prof Makame Mbarawa
1. Iweje S.Africa wajenge SGR km 20,000 speed ( 180-400km/h) kwa US$ 110 bn= RD T1.5 bei sawa na Tanzania huku speed yetu ikiwa ni 160km/h
2. Iweje Etiopia wajenge SGR km 750 km speed (120-200 km/h)kwa US$ 3.4bn kwa bei juu kidogo ya Tanzania.
3. Wakati wa kusaini mkataba Prof Mbarawa aliwaambia Watanzania kuwa pesa ya Mradi itatoka kwa wafadhili na Serikalini, Lakini Raisi Magufuli anasema pesa yote ni ya serikali, Sasa watanzania tumwani nani? Na mnatudanganya ili iweje?-Gazeti la The citizen la 4/2/017
Nawatakia mapumziko mema ya siku kuu ya Pasaka.
Mungu Ibariki Tanzania na Watu wake.

 
Kiongozi makini mara zote huzitazama fursa kama mtaji wa uhalali wake kama kiongozi.
Siku zote hufanya utafiti wa kina kabla ya kuamua jambo lolote analotaka kulifanya,
Nikupongeza Raisi wangu Dk John Joseph Pombe Magufuli kwa uthubutu wako wa-
kiwango cha juu kabisa achilia mbali ule wa MwL JK Nyerere uliomsaidia kupata uhuru
wa Tanganyika toka kwa Waingereza. Your running well but out of the ground.
Hapa nakumbuka maneno ya baba wa Taifa –Kiongozi bora awe na uwezo wa kugundua amekosea asahihishe-MwL JK Nyerere.
Hivi Mh Raisi alishajaribu kupitia takwimu ili kufahamu walau kati ya watu zaidi mil 52 waishio Tanzania Wangapi ni wakulima?Wangapi ni Wafanyakazi,Wangapi hawana kazi yeyote rasmi kama mimi,Walipa kodi ni wangapi? Leo naomba niongelee kundi moja tu la wakulima wenzangu.
Unapelekaje Tzs Trioni 2.24 kwenye kilimo sector yenye watu zaidi ya mil 35. Pamoja na bajeti hiyo ndogo bado Wizara ya Kilimo na Mifugo inapokea Tzs 1.7 trioni are we serious kweli kama serikali.
Hivi unaachaje sector ya kilimo yenye ajira zaidi ya mil 35 inayochangia asilia 32.4% ya pato la Taifa (GDP ) sawa na Tsh Trion 6.6 kwa kila mwaka, hizi hutokana na kilimo chenye bajeti ya Tr 1.7 Hebu fikiri kama tutawekeza hata nusu ya pato lake yaani Trioni 3.3. Tukanunua Matrecta,Plau,Pump za kumwagilia etc, Naamini Tutashangaza Dunia.
Hebu fikirini toka mazao ya biashara pekee Kilimo kinaliingizia Taifa zaidi ya US$ 1bn kil
mwaka. Kuna zaidi ya hekta mil 44 zinafaa kwa kilimo huku 33% sawa na hekta mil 14.52 pekee ndio zimetumika mpaka sasa kwa kilimo. Hivi mnajua kilimo ndio kila kitu Watanzania.



MAAJABU YA RELI PANA (standard gauge)


Napaata tabu kuelewa haya, japo watanzania wengi akili zetu zimejengwa kutumikia siasa zaidi kuliko Tanzania, Huwa nashangaa mtu anasapoti jambo hata kama ni la hovyo kiasi gani na halina maslahi kabisa kwa Taifa litapewa kiki kisa ni aliyetoa ni wa jamii yake/chama chake shame on us.
Itakumbukwa inchi kama South Africa pamoja na kuwa inchi ya kwanza Africa kwa Maendeleo yaani (Second World Country-Africa) lakini hawakufikia hapo kwa kuwa na ndege wala SGR .
Itakumbukwa FY 2013/2014, Shrika la reli SA liitwalo Passenger Rail Agency of SA (Prasa ) kwa mara ya kwanza ndio walitenga kiasi cha US$ 110bn sawa na Rand 1.5trion kwenye km 20,000 sawa US$0.0055bn/km yenye spidi ya 180-400km/h kwa kuwashirikisha Msumbiji na Botswana kwa kutumia umoja wao wa State Transport Company Transnet (SOC LTD) kuanza ujenzi wa network- Rail systm hiyo, lakini hii ni baada ya kuimarisha sana microsectors ikiwemo Kilimo na biashara.
Kwamujibu wa Gazeti la the The East African Waturuki /Wareno wanadai wameshinda tenda ya kutengeneza km 205 kwa US$ 1.215bn huku Prof Makame Mbarawa anasema ni US$187/300km.Hizo km 95 mkandarasi ni nani?
Hebu tujiulize ni kweli MORO-DAR ni km 300? Eti Mkurugenzi wa RAHCO anasema km 95 ni divergence na Stations yawezekanaje divergency railway ikawa ni nusu ya Mainrailway?
Jaribuni kufanya utafiti.Nijuavyo mimi Dar Moro ni km 190 pekee hizo km 15 ni za nani? AU ndio Sababu RAHCO-Reli asset Holding company wanatamani tubadili katiba ili Mh Dk Magufuli aendelee kutawala kwa ajili ya dili hizi? Hata hivyo kwanini Tanzania tulipe US$ 0.0059bn/km kwa reli yenye
Speed ya 160km/h juu kidogo ya wenzetu South Africa wenye SGR ya 400/km/h hapa hata mimi ningeombea Dk Magufuli atawale milele ile nipige dili lote kwenye km 2,561, Watanzania tuacheni ubinafsi.
Kwa mfano wenzetu wa Ethiopia walijenga SGR kutoka Ethiopia-Djibout km 750 kwa US$ 3.4 bn sawa na US$ 0.0045bn/km kwanini Tanzania km 215/1.215bn sawa na US$0.0059 bn/km. yaani kwa Mradi huo wa km 300 tutapoteza US$ 0.42bn kama tutafanya kwa km zote 2,561 tutapoza US$ 3.59bn hapa lazima watu waombee Rais Dk Magufuli atawale milele.
Maswali yangu kwa waziri mwenye dhamana Prof Makame Mbarawa
1. Iweje S.Africa wajenge SGR km 20,000 speed ( 180-400km/h) kwa US$ 110 bn= RD T1.5 bei sawa na Tanzania huku speed yetu ikiwa ni 160km/h
2. Iweje Etiopia wajenge SGR km 750 km speed (120-200 km/h)kwa US$ 3.4bn kwa bei chini kidogo ya Tanzania.
3. Wakati wa kusaini mkataba Prof Mbarawa aliwaambia Watanzania kuwa pesa ya Mradi itatoka kwa wafadhili na Serikalini, Lakini Raisi Magufuli anasema pesa yote ni ya serikali, Sasa watanzania tumwani nani? Na mnatudanganya ili iweje?-Gazeti la The citizen la 4/2/017
Nawatakia mapumziko mema ya siku kuu ya Pasaka.
Mungu Ibariki Tanzania na Watu wake.

Tujikumbueshe wakati wa kampeni ".. wenzetu Kenya wako mbali sana hata wana treni za umeme (napicha tukatupia)... leo kwa Tanzania treni ya nini bora kilimo" miluzi too much.. vaa miwani ya mbao JPM
 
Wamshauri wewe km nani?

Alikwambia anahitaji ushauri?
Najua simnataka kupiga dili tu ila kama ni kuwasaidia watanzania masikini tuwekeze kwenye kilimo
Its not abt that mkuu... kwanza tuna president mmoja sio wengi, pili maamuzi yake yanaweza kuwa yanabusara.... Kilimo tumekihubiri all over toka Tanzania inazaliwa hatujawahi kufanikiwa, someone is trying something different tuache afanye...
 
I subscribe. Umegusa sehemu muhimu sana. Wacha nikae sawa; nitakuja na views zangu ambazo siku zote nimekua nikiamini kama tutawekeza kwenye kilimo (kuanzia kulima hadi masoko) basi sehemu kubwa ya jamii yetu itaondoka kwenye umaskini tuliopo.
 
Kiongozi makini mara zote huzitazama fursa kama mtaji wa uhalali wake kama kiongozi.
Siku zote hufanya utafiti wa kina kabla ya kuamua jambo lolote analotaka kulifanya,
Nikupongeza Raisi wangu Dk John Joseph Pombe Magufuli kwa uthubutu wako wa-
kiwango cha juu kabisa achilia mbali ule wa MwL JK Nyerere uliomsaidia kupata uhuru
wa Tanganyika toka kwa Waingereza. Your running well but out of the ground.
Hapa nakumbuka maneno ya baba wa Taifa –Kiongozi bora awe na uwezo wa kugundua amekosea asahihishe-MwL JK Nyerere.
Hivi Mh Raisi alishajaribu kupitia takwimu ili kufahamu walau kati ya watu zaidi mil 52 waishio Tanzania Wangapi ni wakulima?Wangapi ni Wafanyakazi,Wangapi hawana kazi yeyote rasmi kama mimi,Walipa kodi ni wangapi? Leo naomba niongelee kundi moja tu la wakulima wenzangu.
Unapelekaje Tzs Trioni 2.24 kwenye kilimo sector yenye watu zaidi ya mil 35. Pamoja na bajeti hiyo ndogo bado Wizara ya Kilimo na Mifugo inapokea Tzs 1.7 trioni are we serious kweli kama serikali.
Hivi unaachaje sector ya kilimo yenye ajira zaidi ya mil 35 inayochangia asilia 32.4% ya pato la Taifa (GDP ) sawa na Tsh Trion 6.6 kwa kila mwaka, hizi hutokana na kilimo chenye bajeti ya Tr 1.7 Hebu fikiri kama tutawekeza hata nusu ya pato lake yaani Trioni 3.3. Tukanunua Matrecta,Plau,Pump za kumwagilia etc, Naamini Tutashangaza Dunia.
Hebu fikirini toka mazao ya biashara pekee Kilimo kinaliingizia Taifa zaidi ya US$ 1bn kil
mwaka. Kuna zaidi ya hekta mil 44 zinafaa kwa kilimo huku 33% sawa na hekta mil 14.52 pekee ndio zimetumika mpaka sasa kwa kilimo. Hivi mnajua kilimo ndio kila kitu Watanzania.



MAAJABU YA RELI PANA (standard gauge)


Napaata tabu kuelewa haya, japo watanzania wengi akili zetu zimejengwa kutumikia siasa zaidi kuliko Tanzania, Huwa nashangaa mtu anasapoti jambo hata kama ni la hovyo kiasi gani na halina maslahi kabisa kwa Taifa litapewa kiki kisa ni aliyetoa ni wa jamii yake/chama chake shame on us.
Itakumbukwa inchi kama South Africa pamoja na kuwa inchi ya kwanza Africa kwa Maendeleo yaani (Second World Country-Africa) lakini hawakufikia hapo kwa kuwa na ndege wala SGR .
Itakumbukwa FY 2013/2014, Shrika la reli SA liitwalo Passenger Rail Agency of SA (Prasa ) kwa mara ya kwanza ndio walitenga kiasi cha US$ 110bn sawa na Rand 1.5trion kwenye km 20,000 sawa US$0.0055bn/km yenye spidi ya 180-400km/h kwa kuwashirikisha Msumbiji na Botswana kwa kutumia umoja wao wa State Transport Company Transnet (SOC LTD) kuanza ujenzi wa network- Rail systm hiyo, lakini hii ni baada ya kuimarisha sana microsectors ikiwemo Kilimo na biashara.
Kwamujibu wa Gazeti la the The East African Waturuki /Wareno wanadai wameshinda tenda ya kutengeneza km 205 kwa US$ 1.215bn huku Prof Makame Mbarawa anasema ni US$187/300km.Hizo km 95 mkandarasi ni nani?
Hebu tujiulize ni kweli MORO-DAR ni km 300? Eti Mkurugenzi wa RAHCO anasema km 95 ni divergence na Stations yawezekanaje divergency railway ikawa ni nusu ya Mainrailway?
Jaribuni kufanya utafiti.Nijuavyo mimi Dar Moro ni km 190 pekee hizo km 15 ni za nani? AU ndio Sababu RAHCO-Reli asset Holding company wanatamani tubadili katiba ili Mh Dk Magufuli aendelee kutawala kwa ajili ya dili hizi? Hata hivyo kwanini Tanzania tulipe US$ 0.0059bn/km kwa reli yenye
Speed ya 160km/h juu kidogo ya wenzetu South Africa wenye SGR ya 400/km/h hapa hata mimi ningeombea Dk Magufuli atawale milele ile nipige dili lote kwenye km 2,561, Watanzania tuacheni ubinafsi.
Kwa mfano wenzetu wa Ethiopia walijenga SGR kutoka Ethiopia-Djibout km 750 kwa US$ 3.4 bn sawa na US$ 0.0045bn/km kwanini Tanzania km 215/1.215bn sawa na US$0.0059 bn/km. yaani kwa Mradi huo wa km 300 tutapoteza US$ 0.42bn kama tutafanya kwa km zote 2,561 tutapoza US$ 3.59bn hapa lazima watu waombee Rais Dk Magufuli atawale milele.
Maswali yangu kwa waziri mwenye dhamana Prof Makame Mbarawa
1. Iweje S.Africa wajenge SGR km 20,000 speed ( 180-400km/h) kwa US$ 110 bn= RD T1.5 bei sawa na Tanzania huku speed yetu ikiwa ni 160km/h
2. Iweje Etiopia wajenge SGR km 750 km speed (120-200 km/h)kwa US$ 3.4bn kwa bei juu kidogo ya Tanzania.
3. Wakati wa kusaini mkataba Prof Mbarawa aliwaambia Watanzania kuwa pesa ya Mradi itatoka kwa wafadhili na Serikalini, Lakini Raisi Magufuli anasema pesa yote ni ya serikali, Sasa watanzania tumwani nani? Na mnatudanganya ili iweje?-Gazeti la The citizen la 4/2/017
Nawatakia mapumziko mema ya siku kuu ya Pasaka.
Mungu Ibariki Tanzania na Watu wake.

Ndugu Yangu Vugu-Vugu, ningependa kuchangia thread yako kwa kuangalia kichwa Cha thread yako na baadhi ya maelezo yako kwani mengine uliyoongelea yana pishana na kichwa Cha Habari yenyewe.
Sasa nikirudi Ktk ombi lako la kuacha kuwekeza Ktk sgr na kuwekeza kwenye kilimo, unatakiwa kuelewa kwamba bila kuwa na njia Za usafiri ni wazi Hayo Mazao yataozea mikoani yasiweze kufikia masoko au viwandani.
Ukisema ya kwamba tunaweza kuendelea na reli iliyopo kusafirisha hayo Mazao , unatakiwa kuelewa changamoto Za hii reli ya sasa, moja ni operational cost zipo juu kutokana na under investment na service ya railway truck kwa MUDs mrefu, high cost ya replacement of engine na wagons maana ni chache au inatakiwa ifanyike special set up ya production ili kukidhi mahitaji yetu, kwa maana watengenezaji wengi production set up Yao ya vichwa vya train na mabehewa ni standard gauge.
Nitakuunga mjini kwenye suala la kuongeza budget ya kilimo kwenye kuwekeza Ktk vitu ulivyo sema iwe tractor , plough, na pia infrastucture Za umwagiliaji maji, na uhifadhi wa mavuno etc . Kwa mfano hizi milioni 50 Za kila kijiji zitasaidia katika kuongeza uzalishaji wa Mazao ya kilimo Ktk area ulizo sema take into account kwamba vijana wengi hawa ile practical experience ya kilimo hata hicho Cha mkono , hivyo hatuwezi ku risk fedha nyingi kwa watu Kama hao na hii ndio imekuwa shida kwa miradi mingi Tz , tuna penda kuweka theory in a practical situation.
Kwa nature ya nchi yetu na watu wake watu tunatakiwa kujiunga Ktk vikundi ili tuweze ku share knowledge , experience na ku weka mitaji pamoja ili tuweze kuwa na kilimo Chenye tija na ku punguza maafa mambo yakienda mrama kwa mtu moja moja. Yaani fikiria wewe uwekeze 20m na mambo yakienda mrama ni kwamba umepoteza 20m , lakini ukiwa kwenye kikundi risk inaweza kuwa 2m tu.
Hapa naweka maelezo kidogo ya nini ni uchumi/ economics
"Pejoratively known as the "dismal science," modern economics is primarily focused on the production, distribution and consumption of goods and services. It tries to determine how people, businesses and governments should best associate with each other and organize activity to achieve maximum output."
 
Stick kwenye point chief, tatizo ni ndege au reli au treni, kilimo tumeinvest for the past 50yrs, lkn kujenga reli ni njia nyingine ya kuwekeza kwenye kilimo, yaani hoho ikivunwa saa 2 asbh Morogoro, Dar wanaipikia saa 6 mchana huo ndo euwekezaji kwenye kilimo indirect .Acha tujaribu na huku
 
Ndugu Yangu Vugu-Vugu, ningependa kuchangia thread yako kwa kuangalia kichwa Cha thread yako na baadhi ya maelezo yako kwani mengine uliyoongelea yana pishana na kichwa Cha Habari yenyewe.
Sasa nikirudi Ktk ombi lako la kuacha kuwekeza Ktk sgr na kuwekeza kwenye kilimo, unatakiwa kuelewa kwamba bila kuwa na njia Za usafiri ni wazi Hayo Mazao yataozea mikoani yasiweze kufikia masoko au viwandani.
Ukisema ya kwamba tunaweza kuendelea na reli iliyopo kusafirisha hayo Mazao , unatakiwa kuelewa changamoto Za hii reli ya sasa, moja ni operational cost zipo juu kutokana na under investment na service ya railway truck kwa MUDs mrefu, high cost ya replacement of engine na wagons maana ni chache au inatakiwa ifanyike special set up ya production ili kukidhi mahitaji yetu, kwa maana watengenezaji wengi production set up Yao ya vichwa vya train na mabehewa ni standard gauge.
Nitakuunga mjini kwenye suala la kuongeza budget ya kilimo kwenye kuwekeza Ktk vitu ulivyo sema iwe tractor , plough, na pia infrastucture Za umwagiliaji maji, na uhifadhi wa mavuno etc . Kwa mfano hizi milioni 50 Za kila kijiji zitasaidia katika kuongeza uzalishaji wa Mazao ya kilimo Ktk area ulizo sema take into account kwamba vijana wengi hawa ile practical experience ya kilimo hata hicho Cha mkono , hivyo hatuwezi ku risk fedha nyingi kwa watu Kama hao na hii ndio imekuwa shida kwa miradi mingi Tz , tuna penda kuweka theory in a practical situation.
Kwa nature ya nchi yetu na watu wake watu tunatakiwa kujiunga Ktk vikundi ili tuweze ku share knowledge , experience na ku weka mitaji pamoja ili tuweze kuwa na kilimo Chenye tija na ku punguza maafa mambo yakienda mrama kwa mtu moja moja. Yaani fikiria wewe uwekeze 20m na mambo yakienda mrama ni kwamba umepoteza 20m , lakini ukiwa kwenye kikundi risk inaweza kuwa 2m tu.
Hapa naweka maelezo kidogo ya nini ni uchumi/ economics
"Pejoratively known as the "dismal science," modern economics is primarily focused on the production, distribution and consumption of goods and services. It tries to determine how people, businesses and governments should best associate with each other and organize activity to achieve maximum output."
Kama nimemuelewa Vugu vugu anasema si rahisi kwa inji kama hii kuendelea kwa treni/ndege kwani sector hii inachukua/hudumia watu wachache
 
shida sio reli, shida ni matumizi ya SGR kubebea mizigo. Hapo ndio tumekosea kweli kweli.

RAHCO wangeachia mizigo iwe dedicated to currentl railway. Hii SGR ifocus na abiria tu.,

Spidi waisogeze hadi 180-200 kama alivyochomekea magu.

Mengine tutajuana mbele kwa mbele.
 
Stick kwenye point chief, tatizo ni ndege au reli au treni, kilimo tumeinvest for the past 50yrs, lkn kujenga reli ni njia nyingine ya kuwekeza kwenye kilimo, yaani hoho ikivunwa saa 2 asbh Morogoro, Dar wanaipikia saa 6 mchana huo ndo euwekezaji kwenye kilimo indirect .Acha tujaribu na huku
yup yup mazao fresh yanatolewa moro to dar in a minute... safi mkuu
 
Kiongozi makini mara zote huzitazama fursa kama mtaji wa uhalali wake kama kiongozi.
Siku zote hufanya utafiti wa kina kabla ya kuamua jambo lolote analotaka kulifanya,
Nikupongeza Raisi wangu Dk John Joseph Pombe Magufuli kwa uthubutu wako wa-
kiwango cha juu kabisa achilia mbali ule wa MwL JK Nyerere uliomsaidia kupata uhuru
wa Tanganyika toka kwa Waingereza. Your running well but out of the ground.
Hapa nakumbuka maneno ya baba wa Taifa –Kiongozi bora awe na uwezo wa kugundua amekosea asahihishe-MwL JK Nyerere.
Hivi Mh Raisi alishajaribu kupitia takwimu ili kufahamu walau kati ya watu zaidi mil 52 waishio Tanzania Wangapi ni wakulima?Wangapi ni Wafanyakazi,Wangapi hawana kazi yeyote rasmi kama mimi,Walipa kodi ni wangapi? Leo naomba niongelee kundi moja tu la wakulima wenzangu.
Unapelekaje Tzs Trioni 2.24 kwenye kilimo sector yenye watu zaidi ya mil 35. Pamoja na bajeti hiyo ndogo bado Wizara ya Kilimo na Mifugo inapokea Tzs 1.7 trioni are we serious kweli kama serikali.
Hivi unaachaje sector ya kilimo yenye ajira zaidi ya mil 35 inayochangia asilia 32.4% ya pato la Taifa (GDP ) sawa na Tsh Trion 6.6 kwa kila mwaka, hizi hutokana na kilimo chenye bajeti ya Tr 1.7 Hebu fikiri kama tutawekeza hata nusu ya pato lake yaani Trioni 3.3. Tukanunua Matrecta,Plau,Pump za kumwagilia etc, Naamini Tutashangaza Dunia.
Hebu fikirini toka mazao ya biashara pekee Kilimo kinaliingizia Taifa zaidi ya US$ 1bn kil
mwaka. Kuna zaidi ya hekta mil 44 zinafaa kwa kilimo huku 33% sawa na hekta mil 14.52 pekee ndio zimetumika mpaka sasa kwa kilimo. Hivi mnajua kilimo ndio kila kitu Watanzania.



MAAJABU YA RELI PANA (standard gauge)


Napaata tabu kuelewa haya, japo watanzania wengi akili zetu zimejengwa kutumikia siasa zaidi kuliko Tanzania, Huwa nashangaa mtu anasapoti jambo hata kama ni la hovyo kiasi gani na halina maslahi kabisa kwa Taifa litapewa kiki kisa ni aliyetoa ni wa jamii yake/chama chake shame on us.
Itakumbukwa inchi kama South Africa pamoja na kuwa inchi ya kwanza Africa kwa Maendeleo yaani (Second World Country-Africa) lakini hawakufikia hapo kwa kuwa na ndege wala SGR .
Itakumbukwa FY 2013/2014, Shrika la reli SA liitwalo Passenger Rail Agency of SA (Prasa ) kwa mara ya kwanza ndio walitenga kiasi cha US$ 110bn sawa na Rand 1.5trion kwenye km 20,000 sawa US$0.0055bn/km yenye spidi ya 180-400km/h kwa kuwashirikisha Msumbiji na Botswana kwa kutumia umoja wao wa State Transport Company Transnet (SOC LTD) kuanza ujenzi wa network- Rail systm hiyo, lakini hii ni baada ya kuimarisha sana microsectors ikiwemo Kilimo na biashara.
Kwamujibu wa Gazeti la the The East African Waturuki /Wareno wanadai wameshinda tenda ya kutengeneza km 205 kwa US$ 1.215bn huku Prof Makame Mbarawa anasema ni US$187/300km.Hizo km 95 mkandarasi ni nani?
Hebu tujiulize ni kweli MORO-DAR ni km 300? Eti Mkurugenzi wa RAHCO anasema km 95 ni divergence na Stations yawezekanaje divergency railway ikawa ni nusu ya Mainrailway?
Jaribuni kufanya utafiti.Nijuavyo mimi Dar Moro ni km 190 pekee hizo km 15 ni za nani? AU ndio Sababu RAHCO-Reli asset Holding company wanatamani tubadili katiba ili Mh Dk Magufuli aendelee kutawala kwa ajili ya dili hizi? Hata hivyo kwanini Tanzania tulipe US$ 0.0059bn/km kwa reli yenye
Speed ya 160km/h juu kidogo ya wenzetu South Africa wenye SGR ya 400/km/h hapa hata mimi ningeombea Dk Magufuli atawale milele ile nipige dili lote kwenye km 2,561, Watanzania tuacheni ubinafsi.
Kwa mfano wenzetu wa Ethiopia walijenga SGR kutoka Ethiopia-Djibout km 750 kwa US$ 3.4 bn sawa na US$ 0.0045bn/km kwanini Tanzania km 215/1.215bn sawa na US$0.0059 bn/km. yaani kwa Mradi huo wa km 300 tutapoteza US$ 0.42bn kama tutafanya kwa km zote 2,561 tutapoza US$ 3.59bn hapa lazima watu waombee Rais Dk Magufuli atawale milele.
Maswali yangu kwa waziri mwenye dhamana Prof Makame Mbarawa
1. Iweje S.Africa wajenge SGR km 20,000 speed ( 180-400km/h) kwa US$ 110 bn= RD T1.5 bei sawa na Tanzania huku speed yetu ikiwa ni 160km/h
2. Iweje Etiopia wajenge SGR km 750 km speed (120-200 km/h)kwa US$ 3.4bn kwa bei juu kidogo ya Tanzania.
3. Wakati wa kusaini mkataba Prof Mbarawa aliwaambia Watanzania kuwa pesa ya Mradi itatoka kwa wafadhili na Serikalini, Lakini Raisi Magufuli anasema pesa yote ni ya serikali, Sasa watanzania tumwani nani? Na mnatudanganya ili iweje?-Gazeti la The citizen la 4/2/017
Nawatakia mapumziko mema ya siku kuu ya Pasaka.
Mungu Ibariki Tanzania na Watu wake.

Very good.
 
Back
Top Bottom