Aendelee hivyo hivyo tu kwa dunia ya leo ni jambo zuri tofauti
na siku za nyuma ambapo ilikuwa sifa, mpaka mtu alikuwa anaitwa
MKALI, BINGWA, PELE, MARADONA n.k lakini leo ni KICHECHE, KIMEO
FATAKI n.k
Tena akitulia zaidi wenyewe watakuja kumtongoza yeye.