Kisa kama hiki kilimtokea shangazi yangu 30 yrs ago huyo baba alioa mke mwingine na wa dini tofauti na yake! Yaani ni kama amelaaniwa na kizazi chake hao watoto aliozaa na mkewe hakuna hata aliefika form 4. Na huyu wa shangazi yangu ni Dr. mzuri sana
Alirudi kuomba msamaha kwa shangazi na mwanae but ni too late! Mwanae hamuelewi maana hawako close. Ameamua kurudi kwa dini yake ya awali ila ndio mlevi kupindukia.
Katika maisha ya binadamu malipo ni hapa hapa dunia.
Eti mrsleo Hebu niambie inakuaje mdada mpaka unahamia kwa mwanaume hali yakua hata ndoa hujafunga naye? Halafu na mimba unabeba. Hivi inakuaje?
Eti mrsleo Hebu niambie inakuaje mdada mpaka unahamia kwa mwanaume hali yakua hata ndoa hujafunga naye? Halafu na mimba unabeba. Hivi inakuaje?
Kwanini mnaziona hisia za wenzenu kama vile kitu kisichokuwa na thamani?
Kwanini hamzithamini hisia za wenzenu?
Mnaziona kama inyesi tu eehhh????
Watu kama nyie hamfai kabisa
Namuonea huruma huyo dada wa watu
Kila uchao anakupikia kukufulia akijua wewe ni mume mwema kwake kumbe kila ukitembea mimacho imekutoka kwa wanawake wengine huku ukidhani ni sawa
Hata huyo unaedai unampenda wala humpendi na kama akijua na akajua kuwa kuna mwanamke mwingine anapigwa chini lazima nae atakimbia kama anafikiria vyema!
hivi hii kuacha mke mume then mwisho mbaya inasababishwa na nini, maana kuna mifano na mastori mengi
Kaka yangu am sure huyo mwingine atakuwa anajua fika kwamba jamaa ana mtu anaeishi nae na wamezaa lakn wanawake wa cku hiz hawajali hilo ndo mana kuna lindi kubwa la wasichana wanaotembea na waume za watu na akiambiwa namtoa mwenzio ww uingie ndo furaha yao wanapishaba tu kwa waganga
Umeshakaa na mdada
wa watu mda mlefu mpka umemzalisha unataka umuache kisa vibinti vya
mtaani! y km ulikuwa humpendi ukawa unaishi nae? ushamwaribia future
yake sa ivi eti humpendi! badiliken jaman.
Ninaishi na mwanamke ambaye nimezaa naye mtoto mmoja ila hatujafunga ndoa.
Home kwetu wanamfahamu, kwao pia wananifahamu.
Kiukwel kwa sasa nimefall sana kwa mwanamke mwingine ambaye ndiye hasa natamani awe mke wangu wa ndoa.
Tatizo linakuja, huyu wa pili ni dini tofauti na mm japo yu tayari hata nikafunge naye ndoa ya Kiserikali, japokuwa na yeye anawasiwasi kama wazazi wake watalikubali hilo kwani wameishika dini yao kweli kweli.
Huyu wa home naye kila kukicha ananiuliza vp ndoa, nampiga calendar.
Yule mwingine kanipa Go ahead niende kwao natest ali kama wazee wake watakubali.
Nimeshidwa kwenda sijui nitaanzia wapi kumuacha huyu ninayeishi naye.
Kwa mawazo yangu, hata kma nitafunga ndoa na huyu ninayeishi naye, nitamcheat siku zote a maisha yangu sababu ninayempenda ndo hivyo kuna vikwazo kati yetu.
Nifanyeje wandugu?