Chilundumusi
New Member
- Sep 27, 2018
- 1
- 1
Habari zenu za asabuh wakubwa na wadogo zangu.
Mimi ni kijana mwwnye umri wa miaka 26,ni mwanafunzi ambaye natarajia kumaliza chuo mwakan mungu akijalia.Kubwa na ambalo limenileta kwenu na kuja kuomba ushauri ni kwamba nmekuwa na mahusiano na binti mmoja ambaye tumeanza mahusiano yetu tangu mwaka 2011 ,huyu binti tulikutana mazngira flani enzi hizo ambazo bado tulikuwa na akili bado za kitoto tuliishi maisha flani hvi enzi hizo ambazo kila mmoja wetu imebaki kwenye memory yake.
Kutokana na mambo ya shule mm nlibahatika kutoka mazingira yale ambapo nilimuacha mpweke na kama mnavyojua Mara nyingi mahusiano ya mbali huvunjika kusema kwl kuna kipindi kama mnavyojua ujana nliingia kwenye mahusiano na wasichana wengine hvyo nikaachana nae ingawa binti nlimuumiza sana,,maisha yaliendlea ,sasa mwaka Jana kama mungu binti alinitafuta kupitia fb kwan nlibadilisha namba ,kilichopelekea mpka anitafute aliniambia kuwa kuna siku alkuwa ofcn(ameajiliwa ofc moja mjini Zanzibar) kuna kijana alipita ofcn hapo ambae anasema tunafanana kila kitu,anasema kupitia hiyo picha ilimpelekea kunitafuta.
Baada ya kunitafuta nilimuelezea maisha yote ya kimahusiano nliyoyapitia na malengo niliyonayo kwa sasa kuhusu mahusiano ambapo nilimuomba turudiane ili baadae ambapo 2020 tuoane, alnikubalia tukaendleza mahusiano yetu mpka sasa,kusema kwl huyu mschana amekuwa na upendo wa kwl kwangu kama mnavyojua maisha ya shule amekuwa akinisaidia sana vihela vya hapa na pale vile vile amekuwa akinisikiliza na kunionyesha upendo haijalishi nipo ktk hali gan,hajabadilika toka kipindi kile tulipoachana mpka Leo hajabadilika kitabia kwan huyu binti kinachomsaidia ni mcha mungu hilo nalitambua toka kipindi tulichokua wote.
Changamoto iliyopo na ambayo imenifanya nije kwenu kuomba ushauri ni kwamba mm mwakani namaliza chuo mwezi kama wa nane ambapo tena nitakuwa na mwaka mmoja wa Internship(mafunzo kwa vitendo )nilimwambia huyo mpenzi wangu awaambie wazazi wake ili na mm mwakani by mwez wa tano nianze kufanya michakato ya kutoa posa na mambo mengine,sasa huyu mpenzi wangu Jana ameongea na wazazi wake wamekataa kisa dini zetu kwan mm ni mkatoliki(RC)na yy ni mlokole,wazazi wake ni wachungaji hivyo wamemwambia kuwa atawaahibisha ,kwa upande wa binti yupo tayar kubadilisha na kunifuata mm hvyo binti yupo njia panda maana amesema wazazi wake wameongea sana na wamemwambia akibadili dini atambue kuwa wale sio wazazi wake.Hivyo wakubwa na wadogo zangu nipo njia panda kwan binti nampenda na anafaa kwl kuwa wife material na mm kubadili dini na kumfuata ni ngumu hivyo nipo njia panda na nmekuja kwenu wakubwa zangu na wadogo zangu kuomba ushauri wenu.
Mungu awabariki
Mimi ni kijana mwwnye umri wa miaka 26,ni mwanafunzi ambaye natarajia kumaliza chuo mwakan mungu akijalia.Kubwa na ambalo limenileta kwenu na kuja kuomba ushauri ni kwamba nmekuwa na mahusiano na binti mmoja ambaye tumeanza mahusiano yetu tangu mwaka 2011 ,huyu binti tulikutana mazngira flani enzi hizo ambazo bado tulikuwa na akili bado za kitoto tuliishi maisha flani hvi enzi hizo ambazo kila mmoja wetu imebaki kwenye memory yake.
Kutokana na mambo ya shule mm nlibahatika kutoka mazingira yale ambapo nilimuacha mpweke na kama mnavyojua Mara nyingi mahusiano ya mbali huvunjika kusema kwl kuna kipindi kama mnavyojua ujana nliingia kwenye mahusiano na wasichana wengine hvyo nikaachana nae ingawa binti nlimuumiza sana,,maisha yaliendlea ,sasa mwaka Jana kama mungu binti alinitafuta kupitia fb kwan nlibadilisha namba ,kilichopelekea mpka anitafute aliniambia kuwa kuna siku alkuwa ofcn(ameajiliwa ofc moja mjini Zanzibar) kuna kijana alipita ofcn hapo ambae anasema tunafanana kila kitu,anasema kupitia hiyo picha ilimpelekea kunitafuta.
Baada ya kunitafuta nilimuelezea maisha yote ya kimahusiano nliyoyapitia na malengo niliyonayo kwa sasa kuhusu mahusiano ambapo nilimuomba turudiane ili baadae ambapo 2020 tuoane, alnikubalia tukaendleza mahusiano yetu mpka sasa,kusema kwl huyu mschana amekuwa na upendo wa kwl kwangu kama mnavyojua maisha ya shule amekuwa akinisaidia sana vihela vya hapa na pale vile vile amekuwa akinisikiliza na kunionyesha upendo haijalishi nipo ktk hali gan,hajabadilika toka kipindi kile tulipoachana mpka Leo hajabadilika kitabia kwan huyu binti kinachomsaidia ni mcha mungu hilo nalitambua toka kipindi tulichokua wote.
Changamoto iliyopo na ambayo imenifanya nije kwenu kuomba ushauri ni kwamba mm mwakani namaliza chuo mwezi kama wa nane ambapo tena nitakuwa na mwaka mmoja wa Internship(mafunzo kwa vitendo )nilimwambia huyo mpenzi wangu awaambie wazazi wake ili na mm mwakani by mwez wa tano nianze kufanya michakato ya kutoa posa na mambo mengine,sasa huyu mpenzi wangu Jana ameongea na wazazi wake wamekataa kisa dini zetu kwan mm ni mkatoliki(RC)na yy ni mlokole,wazazi wake ni wachungaji hivyo wamemwambia kuwa atawaahibisha ,kwa upande wa binti yupo tayar kubadilisha na kunifuata mm hvyo binti yupo njia panda maana amesema wazazi wake wameongea sana na wamemwambia akibadili dini atambue kuwa wale sio wazazi wake.Hivyo wakubwa na wadogo zangu nipo njia panda kwan binti nampenda na anafaa kwl kuwa wife material na mm kubadili dini na kumfuata ni ngumu hivyo nipo njia panda na nmekuja kwenu wakubwa zangu na wadogo zangu kuomba ushauri wenu.
Mungu awabariki
