Modestproposal
Senior Member
- Jan 6, 2022
- 127
- 230
Sasa huko warundi wametoka wapi mzee..warundi wako huko Manyovu Kigoma,eneo mmoja la Munanila.sema wanamaisha magumu Sana yani ukitaka mbususu unajichagulia tu.Ila wanahasira sana.niliwahi kuwa na mmoja ukimuudhi haongei hata siku nzima.Hapo HahoYaya ni karibu sana na Vijiji vya SiroriSimba ( Willaya ya Musoma Vijijini) , Remng'orori, Kenyamonta (wilaya Serengeti) Mkoa wa Mara, ni jina walilopewa na kutokana na Tabia zao... UKiweza fika maeneo hayo ya vijiji tajwa, wewe waambie wahusika wakupe ramani ya HahoYaya...
Sasa huko warundi wametoka wapi mzee..warundi wako huko Manyovu Kigoma,eneo mmoja la Munanila.sema wanamaisha magumu Sana yani ukitaka mbususu unajichagulia tu.Ila wanahasira sana.niliwahi kuwa na mmoja ukimuudhi haongei hata siku nzima.
Wapo ndugu yangu- nimezaliwa Na kukulia huko Na wanajulikana Kwa jina hilo - HAHOYAYA- ( sijali mama Kwa tafsiri isiyo rasmi)Sasa huko warundi wametoka wapi mzee..warundi wako huko Manyovu Kigoma,eneo mmoja la Munanila.sema wanamaisha magumu Sana yani ukitaka mbususu unajichagulia tu.Ila wanahasira sana.niliwahi kuwa na mmoja ukimuudhi haongei hata siku nzima.
Jiandae kupigwa, maana wanatembeza kichapo balaa
Wapo ndugu yangu- nimezaliwa Na kukulia huko Na wanajulikana Kwa jina hilo - HAHOYAYA- ( sijali mama Kwa tafsiri isiyo rasmi)
Na kuna wazee wetu wamewaoa Na hakuna hizi habari za resifent permits sijui kitu gani.. maisha yanaendelea
Jiandae kupokea wakimbizi mabegi yamejaa smg,ak47
unaogopa umkimleta Tz wahuni watapita nae?
Si ndgu zakeWakimbizi gan tena
1. Wanawake wa Kirundi ni waaminifu sana, wanaume wengi wa Kirundi wamekimbilia Ulaya na Amerika na kuwaacha wake zao na watoto, wengine hata miaka 10 inafika hawajaonana, lakini mwanamke yupo tu analea watoto na kuamini ipo siku mmewe atarudi.Ushauri wenu wakuu!!…
Naona wanawake wa burundi bado ni wazuri sana kwene kutunza familia.
Nb ila nimeambiwa hawa ukicheat wanakuua
Warundi mnaowasifia ni wapi Chief? Wahutu au watusi?From my experience. They are wife material. Hutajuta kamwe
Hao uliotaja ni warwanda siyo warundi.Warundi mnaowasifia ni wapi Chief? Wahutu au watusi?
Oa lakini kataa ndoa.
Hao uliotaja ni warwanda siyo warundi.
Warundi wafupi wanene ,vyeusi n pua kma babalevo
Ni bora uoe binadamu sio hawa wetu tamaa ya mali mbele,ukiyumba tu kiuchumi,sio wakoDah ila wanaume wa Tanzania mna mahangaiko sana.....yaani walivyo na lafudhi mbovu mwisho wa siku uanze kushinda bar hutaki kurudia home
Naweza kuwapata wapi,na mm nivute jiko?Warundi ukiwaoa ni umechukua jumla... huko kwetu kuna sehemu inaitwa Haho yaya na wako kibao kutoka Burundi, ukiwaoa tu, hata kusalimia nyumbani kwao hawaendi. Haya mambo ya shangazi mjomba anataka chai , vitumbua na machapati hawana... wako poa sana. Wanawake wa kirundi wanaheshimu sana waume zao, ni watiifu haswa. Ndoa utaivunja wewe. Hata ukiwa cheat hawakuachi... si wanawake wanaokupa pressure kama wetu wa bongo kila siku maswali kama job interview... kwa kweli wako poa... nimewashuhudia toka kijijini kwetu - kwa kuona maisha yao na vijana waliowaoa huko kijijini...