Stationer store is all about location, yawe maeneo ya vyuo, shule au eneo lenye ofisi nyingi
Mtaji wako sijui kiasi gani, ila kama una mtaji wa kutosha unaweza ongea na ofisi au shule ukawa unawapekekea bahasha, kalamu, karatasi, wino, printing n.k ili ku beat washindani waliokutangulia