malobosato
Member
- Sep 30, 2013
- 61
- 4
Wana Jf,natafuta watu,taasisi waliosomea ushauri nasaha na kunasihi,waliotayari kujitolea kutoa ushauri shuleni,ni Dar es salaam.naomba kama yupo/wapo wanijuze.
juu ya nn?
Karibu. Nitafute napatikana Kinondoni Primary School tuongee kwani ni kweli vijana wengi wahitaji counselling ya kutosha ili kuwaokoa wao na nchi yetu japo wanasihi hawathamiwi nchi hii.
Wana Jf,natafuta watu,taasisi waliosomea ushauri nasaha na kunasihi,waliotayari kujitolea kutoa ushauri shuleni,ni Dar es salaam.naomba kama yupo/wapo wanijuze.