Ushauri: Nahisi ana mwanaume mwingine

Ushauri: Nahisi ana mwanaume mwingine

msuyaeric

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
862
Reaction score
1,249
Habari wakuu,

Naombeni msaada wenu,

Nina mpenzi wangu tuna mwaka sasa na miezi kiukweli yeye kanidizi miaka ya umri kama miwili hivi (mapenzi sio umri lakini) ila kuna tatizo mpenzi wangu amekuwa mtu wa kujiaminisha sana kwangu huwa namuuliza kama yuko na boy mwingine ila dah amekuwa mtu wa kunizidi akili kabisa hali nahisi ananichit tu kuhusu show love anafanya kama kawaida bila tatizo lolote.

So naombeni guys tricks njia gani nitamgundua kama ananichit maana nimejaribu kila njia ila naambulia kuaminishwa tu.

Msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu kuangalia mienendo yake kimya kimya au hata kwa kumtega kupitia watu wengine mkuu
 
Habari wakuu..
Naombeni msaada wenu.. nina mpenzi wangu tuna mwaka sasa na miezi.. kiukweli yeye kanidizi miaka ya umri kama miwili hv (mapenz sio umri lakini) ila kuna tatizo mpenz wangu amekuwa mtu wa kujiaminisha sana kwangu huwa namuuliza kama ako na boy mwingine ila dah amekuwa mtu wakunizidi akili kabisa hali naic ananichit tu.. kuhusu show love anafanya kama kawaidah bila tatizo lolote..
So naombeni guys tricks njia gani nitamgundua kama ananichit maana nimejalibu kila njia ila naambulia kuaaminishwa tu.. msaada tafadhari

Sent using Jamii Forums mobile app
Ili? unayoyatafuta utayapataaaaaaa-Pal mafuta
 
Watu wengine sijui mtakuwa lini, sasa unalazimisha awe anaku cheat au?

Hujamkamata, hujamshtukia, hujaambiwa na mtu hujaona chochote kisa tu kakuzidi akili basi lazima anakucheat, we sijui wa wapi asee. Ukipata boya unalalamika ukipata mwenye akili unalalamika. Acha utoto, tumia hiyo akili yake msonge mbele boya wewe.
 
Habari wakuu,

Naombeni msaada wenu,

Nina mpenzi wangu tuna mwaka sasa na miezi kiukweli yeye kanidizi miaka ya umri kama miwili hivi (mapenzi sio umri lakini) ila kuna tatizo mpenzi wangu amekuwa mtu wa kujiaminisha sana kwangu huwa namuuliza kama yuko na boy mwingine ila dah amekuwa mtu wa kunizidi akili kabisa hali nahisi ananichit tu kuhusu show love anafanya kama kawaida bila tatizo lolote.

So naombeni guys tricks njia gani nitamgundua kama ananichit maana nimejaribu kila njia ila naambulia kuaminishwa tu.

Msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishajua? ikusaidie nini

mtu anakuheshimu hakuoneshei, wewe watakakumchokonoa

endelea utachokipata Usije hapa
 
Ulitaka akwambie ana boy mwingine ndo ujiamini?
Acha kuuliza uliza wakubwa zako ipo siku utalia.
 
Mtu anakupenda tu haujawahi mfuma kwa chochote kibaya, mkuu kila la kheri katika uvumbuzi wako wa makinikia utakachokutana nacho usisahau kutuletea mrejesho.
 
Watu wengine sijui mtakuwa lini, sasa unalazimisha awe anaku cheat au?

Hujamkamata, hujamshtukia, hujaambiwa na mtu hujaona chochote kisa tu kakuzidi akili basi lazima anakucheat, we sijui wa wapi asee. Ukipata boya unalalamika ukipata mwenye akili unalalamika. Acha utoto, tumia hiyo akili yake msonge mbele boya wewe.
Hahahahahah au apimwe mkojo.
 
Aisee ... kumbe we jamaa ni me??
No wonder unakimbiwa, si kwa DP hiyo aise!
 
Mkuu potezea tuu...Trust Me hata iweje Mwasichana japokuwa wanao uwezo wa kuficha madhambi kwa nyuso zao kuliko sisi wanaume ila kumbuka "afichae uchi???" Soo in a while utaona tuu utofauti unaokufanya ujue huna chako na haina haja ya ku force ukiyaona hayo unachukua time yako tuu...ila kwa hapo bado Mkuu manzi akiku cheat na akiwa hakupendi wala hutahitaji ushauri utayaona matendo tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mapenzi kizungumkuti kabla hujafikiria anakusaliti hebu mfikirie huyo mwengine labda ndio unamuibia
 
Ndugu hawa watu awachungiki utakufa siku si zako,wewe jari unaheshimiwa na ujawahi kuzarauriwa na unatimiziwa ukitaka ya uvunguni sasa shauri yako
Nikufundishe kusoma sms kwa kutumia jicho la anae soma, yani akiangalia simu yake wewe una angalia jicho lake naunaona anacho soma?
 
Simply hujakua...huyo mna date tu basi. Ukikua na ukawa na malengo nae utakuwa na akili ya kumwamini....thats maturity...vingine weka constant

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu peleka minyege yako huko, utamu wa bao lako na mikato anayokupa huyo mwanamke ndo inakuzuzua, unataka ujue kama haliwi itakusaidia nini? uchi ni wake wewe unatamani hata mashine yake uing'oe uwe unaibeba muda wote. Kabla hujamjua mbona uluikuwa huna habari naye? umemkaza kidogo, umemuonja sasa unataka ummiliki? hovyo..
 
Back
Top Bottom