Ushauri na Maoni kozi ya Mechanical Engineering

Ushauri na Maoni kozi ya Mechanical Engineering

knows

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,453
Reaction score
2,237
Habari wakuu.

Natumai wote ni wazima.

Moja kwa moja niende kwenye hitaji.

Nahitaji kujua juu ya kozi hii ya mechanical engineering lakini juu ya swala la kujiajiri ki binafsi mtu anaweza vipi kujiajiri juu ya kozi hii kumsaidia na kufanikiwa kiuchumi.

Na ni kwa kupitia kujiajiri kwa upande upi au kwenye kitu ambacho kipo powa Sana kupitia koz hii ya mechanical engineering.

Naomba kuwasilisha kwenu wakuu na wale wazoefu na wajuzi juu ya swala la kujiajiri juu ya kozi hii.

Mungu awabariki Sana
 
Habari wakuu.

Natumai wote ni wazima.

Moja kwa moja niende kwenye hitaji.

Nahitaji kujua juu ya kozi hii ya mechanical engineering lakini juu ya swala la kujiajiri ki binafsi mtu anaweza vipi kujiajiri juu ya kozi hii kumsaidia na kufanikiwa kiuchumi.

Na ni kwa kupitia kujiajiri kwa upande upi au kwenye kitu ambacho kipo powa Sana kupitia koz hii ya mechanical engineering.

Naomba kuwasilisha kwenu wakuu na wale wazoefu na wajuzi juu ya swala la kujiajiri juu ya kozi hii.

Mungu awabariki Sana
Duniani kuna field kuu au mama za uhamdisi ambazo ni

1. Civil
2. Electrical na
3. Mechanical

Yoyote ni chaguo sahihi linapo kuja swala uhandisi.
 
Habari wakuu.

Natumai wote ni wazima.

Moja kwa moja niende kwenye hitaji.

Nahitaji kujua juu ya kozi hii ya mechanical engineering lakini juu ya swala la kujiajiri ki binafsi mtu anaweza vipi kujiajiri juu ya kozi hii kumsaidia na kufanikiwa kiuchumi.

Na ni kwa kupitia kujiajiri kwa upande upi au kwenye kitu ambacho kipo powa Sana kupitia koz hii ya mechanical engineering.

Naomba kuwasilisha kwenu wakuu na wale wazoefu na wajuzi juu ya swala la kujiajiri juu ya kozi hii.

Mungu awabariki Sana
Mechanical engineering kwa uzoefu wangu ni kozi nzuri kwa kuajiriwa na kujiajiri pia. Taasisi nyingi, makampuni na viwanda vingi humhitaji mechanical engineer. Na ajira zake hutangazwa mara kwa mara.

Linapokuja swala la kujiajiri, kiukweli mm kwa uelewa wangu. Jitahidi sana upate mechanical engineering hand skills, uweze kurepair enginees zote za magari na mashine zingine, uweze pia kudesign physical enginees. Ukiweza kupata hizo skills utaweza kuona ni rahisi sana kujiajiri kwenye fani tamu ya mechanical engineering.
Mkuu kila raheli tupo pamoja.
 
Unaweza kufungua workshop ndogo ya kuchomea,vifaa grender,drill machine,welding machine,nk pia ukaweka compressor ya kuweka upepo kwenye magari na pikipik pia kuziba pancha .jitahidi kuchagua site nzuri Mimi nilianza hivyo tu nipo mbali Sana Nina hadi leath machines karibu
 
Back
Top Bottom