fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,606
- 8,264
- Thread starter
-
- #21
asante kwa ushauri wakomwambie avumilie tu...na umweleze mambo hayo ni mambo ya hisia na emotion zaidi si ya kumwambia mtu kwa mdomo akaacha,ila mweleze kuna mambo mabaya zaidi ambayo anaweza mke akayafanya...kama kutoa rojo,au mke akatembea na mtaa mzima au hata baba au kaka wa mume au akichanganyikiwa zaidi anaweza kutembea na baba yake mzazi
Binadamu bana hahaha mwambie aje nimkoboe!!!Jamaa mmoja kaniita kwenye pub mmoja hivi na kaniambia kuwa ana shida na mie,nikamsikiliza,kaniambia kuwa mke wameanza kusagana na dada mmoja ambae nae ni mke wa mtu,nikamuuliza umejuaje,kaniambia kawakuta live
sasa anaomba ushauri afanyeje,nilishindwa cha kumshauri sasa nalileta kwenu,je afanyeje
Mkuu kumkojoza mwanamke anaesagana ni kama kushinda bahati nasibu ya taifaSolution ni kumkojoza
Afadhali mke wangu asagane ila asiingizwe dushe na mwanaume mwingineAzungumze naye, amweleze tatizo liko wapi mpaka anafanya hivyo lakini pia wote kwa pamoja (mke na mume) wamwombe Mungu awaondolee hilo pepo
AiseeeeAfadhali mke wangu asagane ila asiingizwe dushe na mwanaume mwingine
Kazi ipo, nilidhani wanaenda huko kutokana na kutokojozwa kunakosababishwa na hizi chips tunazokula.Mkuu kumkojoza mwanamke anaesagana ni kama kushinda bahati nasibu ya taifa
Kumbuka kuwa meanamke anajua sehemu zote gennye zilipoKazi ipo, nilidhani wanaenda huko kutokana na kutokojozwa kunakosababishwa na hizi chips tunazokula.
Na yeye amfanye kwa style ya kumsaga na sio kutumia miguvu mwenyewe ataacha wanawake wenzie...Jamaa mmoja kaniita kwenye pub mmoja hivi na kaniambia kuwa ana shida na mie,nikamsikiliza,kaniambia kuwa mke wameanza kusagana na dada mmoja ambae nae ni mke wa mtu,nikamuuliza umejuaje,kaniambia kawakuta live
sasa anaomba ushauri afanyeje,nilishindwa cha kumshauri sasa nalileta kwenu,je afanyeje
Hujui ulisemalo wewe.....Afadhali mke wangu asagane ila asiingizwe dushe na mwanaume mwingine
kweli tupu!Hujui ulisemalo wewe.....
Mwanamke anayesagana ni hatari zaidi kwani akishazoea kusagana hutaweza kumridhisha tena.
inawezekana mkuuMkuu kumkojoza mwanamke anaesagana ni kama kushinda bahati nasibu ya taifa
Naomba kukubali kutokubaliana, mwanamke akikung'utwa huko nje na mwanaume mwingine, hataweza kurudi kwako akaridhika. Ni afadhali akasagana kuliko kulika na mwanaume mwingine (dharau zinaanza, kuleta magonjwa ndani etc). After all Kwani ni wajibu wangu kumridhisha au ni jukumu la kila mmoja kujiridhisha wakati wa kujamiiana.Hujui ulisemalo wewe.....
Mwanamke anayesagana ni hatari zaidi kwani akishazoea kusagana hutaweza kumridhisha tena.
Solution ni kumkojoza
Usiombe kukutwa na bwana pepsi....yasikie tu kwa jirani yako, yasije yakakukuta. HutaaminiNaomba kukubali kutokubaliana, mwanamke akikung'utwa huko nje na mwanaume mwingine, hataweza kurudi kwako akaridhika. Ni afadhali akasagana kuliko kulika na mwanaume mwingine (dharau zinaanza, kuleta magonjwa ndani etc). After all Kwani ni wajibu wangu kumridhisha au ni jukumu la kila mmoja kujiridhisha wakati wa kujamiiana.