Ushauri: Microsoft Lumia 540

Elvicepride

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2013
Posts
243
Reaction score
65
Microsoft Lumia 540 - Dual SIM - 8GB HDD - 1GB RAM - 8MP Camera - Black
Short description
Display: 5.0"-IPS LCD capacitive touchscreen,-720 x 1280 pixels
Storage:-8 GB, 1 GB RAM
Camera: 8MP Rear, 5MP Front
Processor:-Quad-core 1.2 GHz Cortex-A7
OS: Microsoft Windows Phone 8.1 with Lumia Denim
Battery-Capacity: Li-Ion 2200 mAh

Kwa waliowahi kutumia Windows Phone je inafaa nikanunue au nibaki kwenye Androids??
 
hebu angalia review zake kwanza, nina wasi wasi sana na hii simu sababu ina weak processor/gpu wakati huo huo ina kioo chenye resolution kubwa, hivyo huwenda ikawa slow kurun vitu vya hd kama magame na apps nyengine. kama unaweza ongeza hela kidogo lumia 640 au 640xl ni nzuri zaidi kwani zina processor yenye speed zaidi.
 
Kwenye 500s series hakuna lumia 540,hzo n spec za lumia 640
 
Full mautamu hapa.Ngoja nikodoe maana ata mm ninampango wa kuachana na tecno.
 
Specs ziko poa sana...kwa hali zetu sisi. I wish niione na nipate bei yake.
 

Hapo ndipo panapojidhihirisha umuhimu wa Chief mkwawa hapa jukwaani.
 

Asante asee! Ilibaki dakika sifuri niagizie ngojea nijipange niongezee nichukue Microsoft Lumia 640 ya size ya kawaida Tofauti na XL
 


Chief, hivi ni window phone ipi ina ukubwa wa kuanzia inchi 5.5 na kuendelea wa kioo. Napendelea sim kubwa kubwa.
 
Mimi ninayo lumia 1520 ina w10 32GB expanded memory 4G kama kawa nipeni 700000/-- tuu.
 

Hapa bongo zimeshafika? Ni bei gani?
 
Chief, hivi ni window phone ipi ina ukubwa wa kuanzia inchi 5.5 na kuendelea wa kioo. Napendelea sim kubwa kubwa.

hio 640xl itakufaa around 500,000, kuna 1320 na 1520 pia ni kubwa. 1520 comment ya chini inauzwa 700,000 na hizi 1320 naziona humu jukwaani hadi 400,000
 
Ngoja tu niagizie Microsoft Lumia 640XL inafaa sana
 
Naomba unisaidie simu gani nzuri ninayoweza pata kwa 300,000 ambayo ni 5inches... Thanks sana

kwa simu za budget 4.5 inches ndio utapata option nyingi. ila kwa 5 inches likely utapata kasoro fulani. mfano simu kama galaxy grand, ina kioo 5inch lakini resolution ni ndogo hivyo kioo quality yake inakuwa ndogo ukikiangalia kama kimemwagiwa maji ya mchele. na ukikuta ina kioo kizuri (kama hii lumia 540) basi utakuta processor/gpu ipo slow kukiendesha kioo chenye resolution kubwa. kama upo tayari kuishi na hizo weakness hizo simu nilizozitaja kama lumia 540/535, galaxy grand, samsung galaxy note 1 zote unaweza pata kwa budget hio.

kama utashuka hadi 4.5 inches utapata simu zenye sd410 nzuri kama
-galaxy core prime
-huawei y550
-motorola moto e

na kama utaongeza budget kidogo angalia simu kama galaxy grand prime au grand 2, flagship za 2013 kama galaxy s4, lg g2, xperia z, htc m7 etc
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…