Ushauri: Mchepuko una mimba yangu

point
 
sijaona cha kukushauri maana ni mwanaume usiye Na msimamo sisi wanaume ata iweje atujitambulishi nyumbani kwa mchepuko Na ukitaka kumkomoa mchepuko mweleze ukweli unampenda mke wako ataanza kukupiga vizinga vya maana wewe mnyime makusudi atajiongeza tu Na ataacha kukuganda ataenda kwa wajinga wengine
 
Sasa wakati unampa hukuwa na haja nayo ebu mwambie akupe mimba kwa utii bila shuruti.
 
utaisoma namba mkuu!
 
dah mm ushauri wangu kwako ni kwamba michepuko cyo dili kabisa baki njia kuu.
 

Ujinga huu
 
Mi sikushauri kitu maana hiyo mimba kwani yako!! Si ni yake???
 
Ufanye ujinga wako alafu uje omba ushauri..nenda katubu.
 
Mwanaume wa Dar umekimbia panya road umekwenda kujilengesha kwa wanawake wa mkoani.....

Ndio uwakome tena...
 
mtu una mke unachepuka hausemi kama umeoa. hapo ndo ulichemka mbaya
 
Kosa lako kubwa ni kuficha ukweli kuwa bado upo ndani ya ndoa laiti kama ungeongea huo ukweli mapema wala usingepata hizo taabu na mahangaiko ya akili kama hivi.Mimi nilipata mkasa kama huo ila mwenzio nilideclare tangu mwanzo wa uhusiano kuwa nina mke wangu wa ndoa tayari.Kipindi cha ujauzito nilipata misukosuko ya kuombwa kwenda kula na huo mchepuko ila sikuwahi kwenda hata siku moja.Na two weeks ago amejifungua ila weekend ndio huwa naenda kumuona mtoto sikuataka kujipeleka mzima mzima sasa hivi wanwake wanataka ndoa usiku na mchana wanaume tumekuwa adimu zaidi ya almasi.So kwa mzozo huo ulionao ulikosea mwanzoni mkuu hapo funguka ukwelikuwa umeoa ili huyo mchepuko ajue tu hiyo nyumba ni ya mke wako na yeye akubali kuwa spare tyre.
 
Kwanz huo ni ushenzi na unatabia chafu,Huo mchepuko ulivyokua unalala nao hukujua kuwa kuna mimba?wanaume wenzio wanafanya hayo mambo kwa akili na kuwajali wake zao,sasa mungu akadhibu ipasavyo na uumbuke mbele ya familia na jamii kwa ujumla
 
Kitabu choote ulichoandika nimeona nukta mbili.
 
Sasa wewe ulipisha hilo likitu lako ukitegemea atataga au. Acha ujinga wewe
 
Mambo mengi ya kipumbavu huwa tunayatafuta wenyewe...
 
hueleweki sasa umemuacha mkeo mara haujaacha....mchepuko ye hana tatizo anataka aolewe we umsema umemuacha mke tena mara mke anarudi
 
pole sana na hiyo ndio faida ya kufanya ngono...jifunze kuwa muwazi inavyoonekana kutokana na ulichoandika wewe ni mtu wa kupindisha pindisha maelezo. na hivyo ndivyo ulivyo ata kwenye mazungumzo yako ya kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…